Darmian
JF-Expert Member
- Oct 1, 2017
- 17,300
- 46,749
Exactly..Pogba inabidi aondoke tu kwa sasa kama ameichoka United..tujipange tusajili hapo katikati tupate balance nzuri.Huyu jamaa tungemuachia tu ili tutengeneze timu ya kukaa misimu 3 hadi 5 pamoja.
Kwa maandalizi yetu sioni tukifanya makubwa sana msimu ujao hivyo tungeandaa wachezaji kuliko kumkumbatia labile ambaye haonekani kututaka tena.
