Al Watani
JF-Expert Member
- Dec 28, 2014
- 21,697
- 32,447
Yes lazima uue winga kwa sababu 4 4 2 diamond hautumii wingsMara nyingi tukicheza diamond tunaua winger moja na kuchezesha pogba pembeni au van de beek.
Bruno,,juu
Tommy na fredy DM..
Na huo mfumo hauna maajabu yeyote zaidi ya kuambulia kipigo.