Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Kama unataka wawepo attacking midfielders wote wa united panga cha kwako.

Ila kwa 4 2 3 1 ya Ole kikosi kitakuwa hivi.

Cavan/ Martial
Rashford Bruno Sancho

Fred/ Matic Scot/Pogba/ James Garner

Shaw/ Alex Maguire Lindelof Bissaka/ Tripier.

Henderson/De Gea.

Hiyo ndiyo 4 2 3 1 ya Ole.
Mkuu. Niwekee first 11 mmoja mmoja,, usiweke lundo la wachezaji.

Weka kikosi cha first 11....

.rashford.Cavani.Sancho.
Bruno..pogba.
Camaving.


Shaw.magwea.varane.bisaka.

Henderson.



Nipangie first 11.. Only wakiwa na double DM..
Sancho,, rashford. Pogba ,Bruno.

Niwekee hapa..
 
Kama unataka wawepo attacking midfielders wote wa united panga cha kwako.

Ila kwa 4 2 3 1 ya Ole kikosi kitakuwa hivi.

Cavan/ Martial
Rashford Bruno Sancho

Fred/ Matic Scot/Pogba/ James Garner

Shaw/ Alex Maguire Lindelof Bissaka/ Tripier.

Henderson/De Gea.

Hiyo ndiyo 4 2 3 1 ya Ole.
Mkuu. Niwekee first 11 mmoja mmoja,, usiweke lundo la wachezaji.

Weka kikosi cha first 11....
Man u akiwemo Sancho ,,rashford,,
Cavan
Bruno na pogba.

Na double DM.. Pamoja ..
 
Mipango gani mzee?,mtu hataki kuongeza mkataba na amebakisha mwaka mmoja ni bora aende farmers league huko sisi tujipange mapema.
Tatizo la pogba ni wakala wake.
Akiona pogba yupo hot ataanza vituko..

Lakini bado hakuna offer iliyotua kwa pogba.
 
Mkuu. Niwekee first 11 mmoja mmoja,, usiweke lundo la wachezaji.

Weka kikosi cha first 11....

.rashford.Cavani.Sancho.
Bruno..pogba.
Camaving.


Shaw.magwea.varane.bisaka.

Henderson.



Nipangie first 11.. Only wakiwa na double DM..
Sancho,, rashford. Pogba ,Bruno.

Niwekee hapa..
Mkuu Camavinga anaweza kuja kumaliza DM mwenyewe sio na kuingia direct kwe XI?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ngoja nikusaidie mkuu @ Peter .

Tukimpata varane na camaving kikosi kitakuwa hivyo..

Huo ndy mfumo wa single DM..
IMG_20210707_172857_201.jpg
 
Ndiyo maana nimekwambia huelewi unachokiongelea.

Mechi zote ambazo Paul Pogba ameanza tumecheza 4 4 2 Diamond.

Na mechi ambazo Scot na Fred na Bruno zote tunacheza 4 2 3 1.

Kama ulifuatilia vizuri jambo ambalo nina wasi wasi nalo kama huwa unafuatilia mechi zote za UEFA Ole alitumia 4 4 2 diamond.

Na mechi nyingi za FA pia alitumia 4 4 2 diamond isipokuwa tu alipokuwa anakutana na timu dhaifu sana.
Mara nyingi tukicheza diamond tunaua winger moja na kuchezesha pogba pembeni au van de beek.

Bruno,,juu

Tommy na fredy DM..

Na huo mfumo hauna maajabu yeyote zaidi ya kuambulia kipigo.
 
Kwann asiingie? Wakati DM tulionao kuna kipindi wanarukwa na akili.

Huyo Dogo ni mzuri kuliko tulio nao.

Anapokonya mipira,,
Pasi zina macho.

Japokuwa sio world class DM..
Camavinga ni Central Midfielder hawezi kucheza kama lone DM unless kama umeamua kubisha tu.

Hata kwenye kikosi cha Rennes hachezi kama lone DM
 
Camavinga ni Central Midfielder hawezi kucheza kama lone DM unless kama umeamua kubisha tu.

Hata kwenye kikosi cha Rennes hachezi kama lone DM
Mkuu,,,nimekuuliza kwanza niletee kikosi cha man u.first 11.

Wakiwemo DM double, pamoja na double attacking midifilders.
Sancho na rashford..
Kama hukupata wachezaji 12 uwanjani..

Ili tuendelee na mengine.

Hiyo Dogo ni DM....ndy asili yake. Na ananunuliwa sababu ya hyo..
 
Back
Top Bottom