mwandende
JF-Expert Member
- Feb 16, 2017
- 11,363
- 21,441
Ndy mwisho wa siku kocha anatupiwa virago.na kufukuzwa.Siyo kila kocha atatumia double pivot ila unachotakiwa kujua mfumo uwanjani mwalimu ndiyo anachagua atumie mfumo kulingana na jinsi anavyotaka timu yake icheze vipi.
Old managers hawakuwa watumiaji wa double pivot kwa sababu double 4 2 3 1 ni mfumo ambao umeibuka recently.
Sio kila mfumo ni wa kuutumia na kupata matokeo mazuri..