Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

PSG huwa anatumia double pivot pia wanadefence dhaifu?
PSG wana watu wa kasi na uwezo mkubwa .
Wanawatumia neyma na mbappe kama wings.
Wana kasi na uwezo mkubwa wa kukokota mpira..
Pia wanatumia mfumo huo wakitafuta matokeo kwa kujilinda zaidi.

Man u anatumia wings gani?
Rashford kushoto ,,,kulia Daniel James ambaye anakimbia na kuuusahau mpira ulipo.
Huoni utofauti?

PSG wana watu wenye uwezo mkubwa kila idara wamekamilika..

Na siku wakiamua kufunguka hawachezeshi double DM.
 
Nimeona hii video jamaa anaipenda sana kazi yake (anaweka sana logic kwenye taarifa pia kabla ya kuweka public).

Pia naona ana connection kubwa na watu wa mahotel...

Nimependa aliposema "when you talk about man utd people becomes crazy"

Btw atakua anapiga sana pay kwenye talk shows and related social media.
 
Thiago called Rio about joining Man Utd, but Moyes and Woodward declined the transfer

Rio Ferdinand reveals in his YouTube channel that Thiago called him to ask Man Utd officials on his behalf about a potential transfer, after DDG gave him his phone number. Moyes and Woodward declined the transfer, and he ended up joining Bayern Munich for a fee of 25m euros instead.

Before Thiago left Barcelona, he called me... We played against Barcelona in the States on tour, and he was unreal. He was playing as the #10, and he scored a worldie.

So we knew about him anyway, and few years later, Moyes was manager. I don't speak to Thiago, I don't know him, but David De Gea gave him my number.

He rang me, and he said, "Rio, I would love to come to Man Utd. Can you speak to someone?"

He said to me, "I would love the opportunity to come to Man Utd. Is there anybody that I could or you could speak to see the interest?"

So I spoke to the people at the club, Moyes and Woodward. I mentioned it.

(He heard back) "We're already down the line with a couple of other signings. It's fine."

He was given 24 hours, Thiago, to make a decision. He ended up ringing me up next morning again, "I've slept on it, can you let me know about Man Utd, what's going on?".

He said again, "I've got 24 hours to make a decision, otherwise Pep won't take me to Bayern Munich".

He ended up going to Bayern Munich, and the rest is history

===========================
ahsante david moyes kwa kutuletea marouanne fellaini, mwanadamu mwenye ufundi mwingi kuliko zidane
Niliwahi soma mahala kwamba aliyeharibu hili dili ni Giggs...Moyes na Ed walimuuliza kuhusu Thiago, Giggs akajibu sio Man united material na ni msaka fedha.
 
Niliwahi soma mahala kwamba aliyeharibu hili dili ni Giggs...Moyes na Ed walimuuliza kuhusu Thiago, Giggs akajibu sio Man united material na ni msaka fedha.
Kumbe tusimhukumu Ole kwa ile kauli yake maarufu ya dna,hili suala linatoka mbali zaidi.
Lakini swali la kujiuliza,tunasajili DNA au uwezo wa mchezaji uwanjani?
Nadhani hatuna kiu ya makombe ndio maana hatuna haraka sana kwenye sajili.
 
Kaja epl na umri gani
Tayari jua lishazama mwili ushachoka kumbuka na majeraha yamechangia
I know unazungumzia age ila ukizingatia talent yake,I am sure watu wa liverpool watakwambia ame-underpeform hajafikia matazamio ya wengi.
 
Tukiweza kutoboa hapa mwezi October na November mambo yatakuwa poa sana.
Screenshot_20210706-194824_FotMob.jpg
 
PSG wana watu wa kasi na uwezo mkubwa .
Wanawatumia neyma na mbappe kama wings.
Wana kasi na uwezo mkubwa wa kukokota mpira..
Pia wanatumia mfumo huo wakitafuta matokeo kwa kujilinda zaidi.

Man u anatumia wings gani?
Rashford kushoto ,,,kulia Daniel James ambaye anakimbia na kuuusahau mpira ulipo.
Huoni utofauti?

PSG wana watu wenye uwezo mkubwa kila idara wamekamilika..

Na siku wakiamua kufunguka hawachezeshi double DM.
Bado naiona PSG ikiwa timu ya kawaida tuu.
 
PSG wana watu wa kasi na uwezo mkubwa .
Wanawatumia neyma na mbappe kama wings.
Wana kasi na uwezo mkubwa wa kukokota mpira..
Pia wanatumia mfumo huo wakitafuta matokeo kwa kujilinda zaidi.

Man u anatumia wings gani?
Rashford kushoto ,,,kulia Daniel James ambaye anakimbia na kuuusahau mpira ulipo.
Huoni utofauti?

PSG wana watu wenye uwezo mkubwa kila idara wamekamilika..

Na siku wakiamua kufunguka hawachezeshi double DM.
Man united wana Rashford kushoto ambaye ana pace nzuri kuliko wachezaji wote wa united na probably wachache sana wanaomzidi EPL, kulia tayari wana Jadon Sancho na Amad huoni kuwa kama issue ni pace tayari imeshakuwa solved ?
 
PSG wana watu wa kasi na uwezo mkubwa .
Wanawatumia neyma na mbappe kama wings.
Wana kasi na uwezo mkubwa wa kukokota mpira..
Pia wanatumia mfumo huo wakitafuta matokeo kwa kujilinda zaidi.

Man u anatumia wings gani?
Rashford kushoto ,,,kulia Daniel James ambaye anakimbia na kuuusahau mpira ulipo.
Huoni utofauti?

PSG wana watu wenye uwezo mkubwa kila idara wamekamilika..

Na siku wakiamua kufunguka hawachezeshi double DM.
Ukiangalia mechi za PSG,
Gana Gueye na Hererra.

Parades na Verrati

Herrera na Paredes wakati mwingine na Danilo au Maquinho huwa wanacheza midfield vipi wanadefence dhaifu ?
 
Back
Top Bottom