mwandende
JF-Expert Member
- Feb 16, 2017
- 11,363
- 21,441
Pogba sio DM,, hilo lipo wazi kabisa..Hivi mfano wakicheza Fred + Pogba hiyo inakuwa sio double pivot?..
Tunashida lakini shida nyingine ni hii ya kumlea Pogba kama Yai..anaacha kucheza kwa discipline anasingizia hawezi kukaba.
Sent using Jamii Forums mobile app
Pogba anacheza juu always.