Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Gareth Southgate anatumia double pivot je Uingereza ina mapungufu kwenye defence ?
Inategemea na watu waliopo mbele .
Pia inategemea na hao DM ni waliopo wana ubora kwa kiasi gani?

Kwa man u Fred na tommy wameshindwa kutuletea matokeo chanya.

Kumbuka kucheza double DM ni kujilinda zaidi.
Tunahitaji DM Mwenye uwezo wa kuhamisha mipira upande kwa upande,, na sio box to box..

Kama hutokuwa na watu wenye kasi na ubora up front .
Ushindi ni finyu.
 
Kila mwaka city ananunuwa wachezaji si chini ya 4.

Tena watu na nusu na robo..

Mfano bila cavani man u tungekuwa nafasi ya ngapi?

Mfano tungewategemea hao mnaowaita striker.
Martial na greenwood pekee?
Kitu kinachofanya Manchester United isiwe inasajili wachezaji wa maana kwa miaka hii ya karibuni ni Ed Woodward aliboronga ktk mishahara. Kwa mwaka timu ina uwezo wa kulipa £200M tu. Msimu uliopita tulitumia £183M sasa hapa muongezee na Jadon Sancho. Je, unafikiri tunaweza kuongeza jina lingine zito?

Hao Manchester City wana wage bill ndogo (£136M) wanazidiwa na Arsenal (£146M), Chelsea (£143) pia. Ununuzi wa wachezaji hutegemea zaidi uwezo kulipa mshahara. Kusaini ile cheque moja ya ununuzi sio shida kwa wamiliki wengi, ugumu upo kwenye kulipa mishahara. Usifikiri Arsenal hawapendi kununua wachezaji pumzi imekataka.
 
Inategemea na watu waliopo mbele .
Pia inategemea na hao DM ni waliopo wana ubora kwa kiasi gani?

Kwa man u Fred na tommy wameshindwa kutuletea matokeo chanya.

Kumbuka kucheza double DM ni kujilinda zaidi.
Tunahitaji DM Mwenye uwezo wa kuhamisha mipira upande kwa upande,, na sio box to box..

Kama hutokuwa na watu wenye kasi na ubora up front .
Ushindi ni finyu.
PSG huwa anatumia double pivot pia wanadefence dhaifu?
 
Mkuu Daemushin kuna camavinga halafu kuna camavinga wa you tube?
hahahahahahaaaa
huyo bwana mdogo sijawahi kumuona akicheza, mchana wa leo nilipoteza muda mwingi sana kumuangalia video zake pale youtube.

  • ana miguu ya fred
  • ufundi wa moussa dembele yule wa tottenham (press resistant midfield)
  • afya yake inanipa wasiwasi

maswali ya kujiuliza:
hivi Ole yupo tayari kweli kuachana na double pivot yake?

camavinga huyu na miaka yake 18 anaweza kuingia kwenye kikosi cha kwanza kwa kumuondoa mctominay, nimeangalia video ya uchambuzi fulani wanasema huyu dogo hucheza vizuri zaidi upande wa kulia na tusisahau huo upande unamilikiwa na scott.

camavinga ni mchezaji wa kikosi cha kwanza au ni backup?
 
david de gea anachangia kwa kiasi kikubwa sana kufungwa mipira ya kona na krosi.
total action ni 8.
dah aibu
1625504896872.png
 
Thiago called Rio about joining Man Utd, but Moyes and Woodward declined the transfer

Rio Ferdinand reveals in his YouTube channel that Thiago called him to ask Man Utd officials on his behalf about a potential transfer, after DDG gave him his phone number. Moyes and Woodward declined the transfer, and he ended up joining Bayern Munich for a fee of 25m euros instead.

Before Thiago left Barcelona, he called me... We played against Barcelona in the States on tour, and he was unreal. He was playing as the #10, and he scored a worldie.

So we knew about him anyway, and few years later, Moyes was manager. I don't speak to Thiago, I don't know him, but David De Gea gave him my number.

He rang me, and he said, "Rio, I would love to come to Man Utd. Can you speak to someone?"

He said to me, "I would love the opportunity to come to Man Utd. Is there anybody that I could or you could speak to see the interest?"

So I spoke to the people at the club, Moyes and Woodward. I mentioned it.

(He heard back) "We're already down the line with a couple of other signings. It's fine."

He was given 24 hours, Thiago, to make a decision. He ended up ringing me up next morning again, "I've slept on it, can you let me know about Man Utd, what's going on?".

He said again, "I've got 24 hours to make a decision, otherwise Pep won't take me to Bayern Munich".

He ended up going to Bayern Munich, and the rest is history

===========================
ahsante david moyes kwa kutuletea marouanne fellaini, mwanadamu mwenye ufundi mwingi kuliko zidane
 
hahahahahahaaaa
huyo bwana mdogo sijawahi kumuona akicheza, mchana wa leo nilipoteza muda mwingi sana kumuangalia video zake pale youtube.

  • ana miguu ya fred
  • ufundi wa moussa dembele yule wa tottenham (press resistant midfield)
  • afya yake inanipa wasiwasi

maswali ya kujiuliza:
hivi Ole yupo tayari kweli kuachana na double pivot yake?

camavinga huyu na miaka yake 18 anaweza kuingia kwenye kikosi cha kwanza kwa kumuondoa mctominay, nimeangalia video ya uchambuzi fulani wanasema huyu dogo hucheza vizuri zaidi upande wa kulia na tusisahau huo upande unamilikiwa na scott.

camavinga ni mchezaji wa kikosi cha kwanza au ni backup?
Hiyo dogo ni type ya dialo,,
Tutamnunuwa na bado hato fit first eleven..
Umri na umbo lake itatubidi tusubiri miaka mingine 3 kupata huduma Yale kwa uhakika.

Bado hajakamilika kutupa vikombe..
 
Back
Top Bottom