Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Here we come
PSX_20210701_234954.jpg
 
Tunaweza kum-offload Anthony Martial ($200k/weekly) pamoja na pesa tutakayoipata baada ya kumuuza hata kwa Pound 30M mahala popote tukaongezea ktk mshahara wa La Pulga. Nina uhakika hawezi kugoma kupokea $350k ~ $400k/weekly kwa mwaka mmoja.

Pia mchezaji mwingine anayepaswa kuonyeshwa mlango wa kutokea ni David Degea. Hatuwezi kuendelea kutumia zaidi ya $450k/weekly kwa magolipa wawili, Dean $100k, David $350k. Haki ya nani Ed Woodward alikuwa mjinga sana. Niliwahi kuandika hapa madhara ya kulipa mishahara mikubwa kizembe zembe bila kutizama mbali.

Tulipaswa kuwa na capped-salary policy hutaki ondoka. Hakuna mchezaji yeyote yule aliyepo Manchester United anaweza kupokea mshahara tunaomlipa sisi nje ya hii timu yetu. Tulikuwa na mtendaji mkuu boga sana.
DeGea aondoke tu.

He's now too average au kocha anashindwa kumnoa vizuri.

Hivi Ole wakati anakuja alitimua hadi kocha wa makipa?
 
Tuache utani jamani OLE kichwani ni mweupe kabisa ,hana mbinu zozote za kisoka ,tatizo LA man utd sio wachezaji ,kocha ndio bomuu ...


Na mtakuja kusituka huu msimu umeisha ,na mtakukuwa hamna kombe lolote

Sancho
Varane

Hata wakija kocha kichwani ni mweupe haelewi kitu ,hana mbinu za ushindi kabisa ,anategemea uwezo wa wachezaji kudadekiii ...

Haya timu ina

Cavan
Pogba
Bruno
Vdb
Rashford

Mnataka mpewe wakina nan mpaka Muwe na kikosi cha kuchukua ubingwa ,

Ole mmepigwa

Ole ni Bomu

Ole hana mbinu

Ole sio class ya kumanage man utd

Ole level zake ni burnely huko

Ole hana analojua kuhusu football

Msimu wa tano bila kombe loading....
 
Back
Top Bottom