Rutashubanyuma
JF-Expert Member
- Sep 24, 2010
- 219,504
- 911,249
Here we come
Duuu hizo hela zitatoka wapi?Nilitaka kuandika hii kitu. Kama kuna uwezekano anaweza kutufaa sana.
BREAKING: Arsenal have approached Chelsea to take the #UCL trophy on loan.



Martial avue namba ile akabidhi kwa "mwenyewe" alafu "mwenyewe" ampe Sancho namba yake simple like that.
Atasusa tena kama ilivyokuwa kwa zlatanMartial avue namba ile akabidhi kwa "mwenyewe" alafu "mwenyewe" ampe Sancho namba yake simple like that.
Itakuwa wakti mzuri sasa wa yeye kwenda Westbrom huko..Atasusa tena kama ilivyokuwa kwa zlatan
DeGea aondoke tu.Tunaweza kum-offload Anthony Martial ($200k/weekly) pamoja na pesa tutakayoipata baada ya kumuuza hata kwa Pound 30M mahala popote tukaongezea ktk mshahara wa La Pulga. Nina uhakika hawezi kugoma kupokea $350k ~ $400k/weekly kwa mwaka mmoja.
Pia mchezaji mwingine anayepaswa kuonyeshwa mlango wa kutokea ni David Degea. Hatuwezi kuendelea kutumia zaidi ya $450k/weekly kwa magolipa wawili, Dean $100k, David $350k. Haki ya nani Ed Woodward alikuwa mjinga sana. Niliwahi kuandika hapa madhara ya kulipa mishahara mikubwa kizembe zembe bila kutizama mbali.
Tulipaswa kuwa na capped-salary policy hutaki ondoka. Hakuna mchezaji yeyote yule aliyepo Manchester United anaweza kupokea mshahara tunaomlipa sisi nje ya hii timu yetu. Tulikuwa na mtendaji mkuu boga sana.
Anataka ngapi?Tatizo mshahara
Naimani atahitaji mshahara mkubwa sana, ukizingatia na umri, ni bola hiyo pesa tusajili Conde wa sevillaNilitaka kuandika hii kitu. Kama kuna uwezekano anaweza kutufaa sana.
Kaoshe vyombo hukooh!Sacho ni lingard aliyechangamka tu media zimemkuza ...
Subili EPL ianzee uone alivomzitoo ,EPL itamkataa mapema sanaa










