Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Mpira bhana..

Tukishaona sajili kama hizi tunapata kimuhemuhe kinoma..december tu hapo tunakuwa tushakata moto..

I hope tutaanza vizuri na kuendelea vizuri..Ole akipata CB na kwa upendeleo DM,,aloo next season asilete utani.
 
Tunaweza kum-offload Anthony Martial ($200k/weekly) pamoja na pesa tutakayoipata baada ya kumuuza hata kwa Pound 30M mahala popote tukaongezea ktk mshahara wa La Pulga. Nina uhakika hawezi kugoma kupokea $350k ~ $400k/weekly kwa mwaka mmoja.

Pia mchezaji mwingine anayepaswa kuonyeshwa mlango wa kutokea ni David Degea. Hatuwezi kuendelea kutumia zaidi ya $450k/weekly kwa magolipa wawili, Dean $100k, David $350k. Haki ya nani Ed Woodward alikuwa mjinga sana. Niliwahi kuandika hapa madhara ya kulipa mishahara mikubwa kizembe zembe bila kutizama mbali.

Tulipaswa kuwa na capped-salary policy hutaki ondoka. Hakuna mchezaji yeyote yule aliyepo Manchester United anaweza kupokea mshahara tunaomlipa sisi nje ya hii timu yetu. Tulikuwa na mtendaji mkuu boga sana.
Mimi nachoona David De Gea aonyeshwe mlango wa kutokea siyo kwa sababu ya mshahara wake bali kwa kiwango chake kuporomoka mno.
 
Kwa hii bei, CR7 tumchukue atatusaidia kubeba mataji
PSX_20210701_234131.jpg
 
Back
Top Bottom