Leon Goretzka Hawezi kutoka Bayern kwa sasa.Nimeona pia Gorektza wa Munich ni target yetu endapo ishu ya Pogba kusalia OT itakuwa ngumu.
Sancho siyo wa kawaida ila intensity ya epl inaweza kuwa tabu kwakeIla Sancho sina imani naye to be frank. Ni wa kawaida but highly rated. Tungevunja bank kuwaleta Halland na Joao Felix
Tuvunje benki kisa Joao Felix ambaye hapo A.Madrid bado hajafanya chochote? ..no way mkuu,,Ila Sancho sina imani naye to be frank. Ni wa kawaida but highly rated. Tungevunja bank kuwaleta Halland na Joao Felix
Joao Felix?? Mkuu upo serious au unatania? mtu ambaye hajawahi fikisha Goal & Assist 20 tuje tumjaribu kwetu.....Sancho namba zake zinambeba katika misimu 3 iliyopita anacontribution ya goal & assist 30+Ila Sancho sina imani naye to be frank. Ni wa kawaida but highly rated. Tungevunja bank kuwaleta Halland na Joao Felix
Sancho siyo wa kawaida ila intensity ya epl inaweza kuwa tabu kwake
Next Edwardo Camavinga
Ndiyo maana akawa offloadedSi kakulia palepale lakini mkuu?
Joao Felix ni mchezaji mzuri sana tatizo amekuwa na mfululizo wa majeraha sana msimu wa pili sasa.Ila Sancho sina imani naye to be frank. Ni wa kawaida but highly rated. Tungevunja bank kuwaleta Halland na Joao Felix
hilo swali waulize casemiro na fabinho.Fred vipi huko Brazil kwa sambaboys?..leteni ripoti
sportbild ndio wameripoti hiyo taarifaLeon Goretzka Hawezi kutoka Bayern kwa sasa.
Hivi Goretzka ni DM au ni CM mimi huwa namuona tu uwanjani ila sijui anacheza position ipisportbild ndio wameripoti hiyo taarifa
kwa taarifa za ujerumani wapo vizuri sana, wasiwasi wangu upande wa wawakilishi wa goretzka wanataka kuitumia manchester united kama ni daraja la kujiongezea maslahi.
mpaka sasa goretzka hajasaini mkataba mpya
mwanadamu fulani mwenye mapafu ya mbwa.Hivi Goretzka ni DM au ni CM mimi huwa namuona tu uwanjani ila sijui anacheza position ipi
Kwahiyo tutaachana na suala la kutafuta DM na kumuacha Pogba aende zake ?mwanadamu fulani mwenye mapafu ya mbwa.
CAM anacheza kwa ufasaha kwa sababu amejaaliwa nguvu, pace, aggression, intelligence na uwezo wa kushinda mipira dhidi ya adui
klabu itafanya mazungumzo na upande wa pogba juu ya mkataba mpya ila kama itashindikana itawalazimu kutafuta mchezaji mwengine wa kuziba nafasi yake (pogba atauzwa)Kwahiyo tutaachana na suala la kutafuta DM na kumuacha Pogba aende zake ?
hakuwa offloaded aligoma kusaini mkataba mpya tena time amegoma arsenal na liverpool walimtakaNdiyo maana akawa offloaded
Huyo Goretzka anaitumia United kupata mkataba mnono Bayern.Leon Goretzka Hawezi kutoka Bayern kwa sasa.
Huyo mchezaji wa kawaida sana tu .ni level za evaton na arsenal nk..Next Edwardo Camavinga
Tukipata DM world class,,nafasi ya pogba hata van beek atacheza vzr tu..au mchezaji yeyote ..Kwahiyo tutaachana na suala la kutafuta DM na kumuacha Pogba aende zake ?