Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

[Micky Jnr]
I have been told manutd scouts are waiting for confirmation from CAF to travel to Egypt and watch Aliou Dieng (23) when AlAhly take on ES Tunis in the CAF Champions League semifinal 2nd leg on Saturday.
View attachment 1826966

Ana nguvu,pace,akili..mzuri sana huyu jamaa..Lakini sina hakika kama atacheza vilevile akija EPL.
 
[Micky Jnr]
I have been told manutd scouts are waiting for confirmation from CAF to travel to Egypt and watch Aliou Dieng (23) when AlAhly take on ES Tunis in the CAF Champions League semifinal 2nd leg on Saturday.
View attachment 1826966

Hapo tutakua tunaendelea kutesti mitambo tu.
 
Hapo tutakua tunaendelea kutesti mitambo tu.
Bora hivyo kuliko kutumia pesa nyingi kwa wachezaji wanaopambwa na Media...pesa yenyewe ya mboga tu a.k.a pesa mbuziii tu.. Chini ya £12 millioni.

Na huyu kijana ana nguvu,kasi ya ajabu sana.

Tunaweza kumpata Kante wetu.
 
[Micky Jnr]
I have been told manutd scouts are waiting for confirmation from CAF to travel to Egypt and watch Aliou Dieng (23) when AlAhly take on ES Tunis in the CAF Champions League semifinal 2nd leg on Saturday.
View attachment 1826966

Aliou Dieng huyu huyu aliyepotezwa na kina Chama mpaka akawa anakabia kwenye box lao ?
 
Varane anakuja kuimarisha safu ya ulinzi tulipwaya sana
PSX_20210623_172613.jpg
 
Aliou Dieng huyu huyu aliyepotezwa na kina Chama mpaka akawa anakabia kwenye box lao ?
Kwa mkapa pale ni kama kuna uchawi vile..

Huyu jamaa anaweza akawa sio top level..lakini nadhani ni cheap option,anauwezo kumzidi immobile McTominay,who always went missing pale katikati..kasi,physicality,passing n.k yuko poa.

Scout wetu naskia wanaenda kumcheki pia jumamosi kwenye game vs Wydad.
 
Kwa mkapa pale ni kama kuna uchawi vile..

Huyu jamaa anaweza akawa sio top level..lakini nadhani ni cheap option,anauwezo kumzidi immobile McTominay,who always went missing pale katikati..kasi,physicality,passing n.k yuko poa.

Scout wetu naskia wanaenda kumcheki pia jumamosi kwenye game vs Wydad.
Wilfred Ndindi hafai ?
 
Wilfred Ndindi hafai ?
Good option pia..na mimi pia nadhani kama Ole atapewa hela ya kutosha agonge mlango Leicester..ila bei zao tunazijua..na kama Pogba akiongeza mkataba sioni hilo likiwezekana.

Tunahitaji CB,RB,RW hawa ndo wa muhimu kabisa kuliko chochote.
 
Good option pia..na mimi pia nadhani kama Ole atapewa hela ya kutosha agonge mlango Leicester..ila bei zao tunazijua..na kama Pogba akiongeza mkataba sioni hilo likiwezekana.

Tunahitaji CB,RB,RW hawa ndo wa muhimu kabisa kuliko chochote.
Lakini mimi sioni kama tuna tatizo central midfield.
Tatizo letu liko right wing na centre foward.

Ni heri tutumie pesa zote za usajili kuimarisha centre foward na right wing kwanza
 
Good option pia..na mimi pia nadhani kama Ole atapewa hela ya kutosha agonge mlango Leicester..ila bei zao tunazijua..na kama Pogba akiongeza mkataba sioni hilo likiwezekana.

Tunahitaji CB,RB,RW hawa ndo wa muhimu kabisa kuliko chochote.
Centre back ni heri Eric Bailly, Tuanzebe na Phill waondoke tusajili wengine kuliko kuendelea kurundika wachezaji wasio na matumizi.

Sote tunaona huko Lindelof anachokifanya
 
Back
Top Bottom