Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Lakini hata mashabiki wa United huwa tunamkosoa zaidi Lindelof kuliko Maguire
Ni nyie. Sio mimi.

Sijawahi kufurahia Maguire kuja United kwanza kwa bei yake na kiwango anachoonesha.

I remain neutral on defence.

Kwenye individual performance i find english players not having talents at all.
 
Imagine Real Madrid wanampiga chini beki kama Ramos halafu united tumekumbatia wachezaji kama Phil Jones.

Tunapata wapi ujasiri wa kujiita big club?
Hivi furguson hayupo katika bodi ya ushauri wa sajili maana dah ni Kuna muda nafikiria labda wale wamiliki wa club wamarekani kama wanaihujumu timu yetu makusudi ili kudhoofisha soka la kiingereza maana Mambo ya intelijensia za kiuchumi ni pana sana
 
Hii timu inapoelekea maskini ya mungu ,wataishia kuhadithia historia za kina Rooney na ronaldo

Msimu ujao sijui hata wanatetea kombe gani
 
Ni nyie. Sio mimi.

Sijawahi kufurahia Maguire kuja United kwanza kwa bei yake na kiwango anachoonesha.

I remain neutral on defence.

Kwenye individual performance i find english players not having talents at all.
Usajili wa sosha huo kimeo kweli kweli
 
Laiti ningekua naweza kuacha kuangalia mpira ningeachaga tu au kuhama timu. watu wanakamilisha deals wanaondoa watu tena manguli sisi bado tetesi tu tena mchezaji mmoja na huyu tutaenda hadi bado siku 2 dirisha lifungwe ndo tunasajili mashabiki tunafurahi tumempata sancho matatizo mengine tunasahau.
 
Hii timu inapoelekea maskini ya mungu ,wataishia kuhadithia historia za kina Rooney na ronaldo

Msimu ujao sijui hata wanatetea kombe gani
Tutee tumekua kuku jike?
Acha ushamba wa video dogo.

Alafu kumbe wewe ni dogo janja sana, yani unamzungumzia Rooney, sijui Ronaldo!

Hao mbona wa kawaida tu.

Kulikua na kombo ya Yorke na Cole ikapita.

Kuna mtu alitaka kunifanya nihame Manchester United, anaitwa Bechkham.

Bechkham kidogo anihamishie Madrid, lakini niliendelea kulipenda hili chama.

Janjalo sisi ndio timu kubwa pale Engaland hakuna wa kutuweza, bora Liva kuku anaweza kuongea sio nyinyi taka taka nyingine.
 
Tutee tumekua kuku jike?
Acha ushamba wa video dogo.

Alafu kumbe wewe ni dogo janja sana, yani unamzungumzia Rooney, sijui Ronaldo!

Hao mbona wa kawaida tu.

Kulikua na kombo ya Yorke na Cole ikapita.

Kuna mtu alitaka kunifanya nihame Manchester United, anaitwa Bechkham.

Bechkham kidogo anihamishie Madrid, lakini niliendelea kulipenda hili chama.

Janjalo sisi ndio timu kubwa pale Engaland hakuna wa kutuweza, bora Liva kuku anaweza kuongea sio nyinyi taka taka nyingine.
Msimu mzima huna komba ,unasimana mbele ya wanaume unasema ni timu kubwa ....


Wewe huna tofaut na burnely ,wolves ,Norwich ,Leeds ..



Huna hadhi ya kusimama na Mimi meza moja mtabaki na historia ya makombe tuu ......
 
Kovid bhana
PSX_20210618_122657.jpg
PSX_20210618_122712.jpg
PSX_20210618_122735.jpg
 
Laiti ningekua naweza kuacha kuangalia mpira ningeachaga tu au kuhama timu. watu wanakamilisha deals wanaondoa watu tena manguli sisi bado tetesi tu tena mchezaji mmoja na huyu tutaenda hadi bado siku 2 dirisha lifungwe ndo tunasajili mashabiki tunafurahi tumempata sancho matatizo mengine tunasahau.
Madirisha 6 ya usajili ni mchezaji 1 tu Sancho.

Yani akili zimegota hapo ni Sancho. Hakuna option nyingine wala plan B. Kwamba bila Sancho United haiwezi beba hata kombe la mbuzi?

Management na kocha ni mazezeta.
 
Back
Top Bottom