mwandende
JF-Expert Member
- Feb 16, 2017
- 11,363
- 21,440
Kwenye dunia ya vipofu ,,Mwenye Jicho moja huwa mfalme.Yawezekana hana maajabu kweli je kikosi chetu kina mtu mwenye maajabu anayecheza wing ya kushoto ?
Rashford hana maajabu ,,,na hakumfanyi aonekane ni bora wakati wapo wachezaji duniani wenye uwezo mkubwa kuliko yeye.
Muda wa kuingia kutokea bench umefika sasa.
Atafutwe mbadala wake .
Sent using Jamii Forums mobile app

