The best 007
JF-Expert Member
- Oct 6, 2019
- 42,480
- 98,527
Ilichukua muda mrefu kabla ya cr7 kuwa tegemeo pale Utd licha ya kwamba alikuwa ana deliver na pia graph yake ilikuwa ikipanda kila siku tangu akiwa kinda, lkn hawa nyota wetu wa cku hizi errors kibaooo.Hiyo lazima waanze ndio tatizo kubwa la wachezaji wa kiingereza,hata kama kiwango kimeshuka.
Angalia mfano wa rashford tunaambiwa anacheza na majeruhi utadhani yeye ndio wa muhimu timu nzima,mbaya zaidi mfanya maamuzi ni ole.