The best 007
JF-Expert Member
- Oct 6, 2019
- 42,480
- 98,527
Tatizo kocha hampi muda, eti mtoto wkt kina Messi na Ronaldo ktk huo umri walikuwa tayari wanategemewa.Goli kali..dogo alelewe vizuri
Tatizo kocha hampi muda, eti mtoto wkt kina Messi na Ronaldo ktk huo umri walikuwa tayari wanategemewa.Goli kali..dogo alelewe vizuri
Inakera sana.Jombaa, Waingereza ni wachezaji wanaokuzwa mno usiwaamini. Mimi ni moja kati ya mtu ninaopinga sana usajili wa wachezaji wa kiingereza based on observations kuna kipindi nilichowahi kuandika hapa huwa wanakuwa-evaluated kwa vipindi vifupi ktk career zao.
Kwa soka la sasa, Usiniulize nimetumia kanuni gani ila ukiwa na wachezaji wa kiingereza zaidi ya wanne kikosi cha kwanza ktk timu yako yaani ni lazima waanze panga pangua huwezi kushinda taji lolote lile kubwa. Hawana vipaji.
Waingereza tuwapate kwa njia ya kuwapandisha kupitia timu za watoto kama Marcus Rashford na Mason Greenwwood ila sio kupoteza pesa kuwanunua. Nikiona taarifa za Sancho Sky Sports wanavyoaandika upupu kumpamba moyo wangu unanung'unika sana jinsi vyombo vya habari vya kiingereza vinavyotumia platform kutangaza wachezaji wa kiingereza average kila siku.
Hana lolote mkuu co wa kucheza tm kubwa huyo, ngoja aje utaamini ninachosema.Sancho uwezo anao au hana?..tuachane na price tag kwanza..
Mbadala wa Sancho ni kama nani na bei zao vipi?
Absolutely.Eduardo Camavinga.
Hakika MKUU,,hana maajabu yeyote kwa man u,,Hana lolote mkuu co wa kucheza tm kubwa huyo, ngoja aje utaamini ninachosema.
Sancho akija msimu ujao,,na tukichukuwa DM mkali pamoja na vitasa viwili vya kati.Sancho tunamchukulia poa sana.
Huyo Dogo hakuna kitu.Eduardo Camavinga.
Hana lolote mkuu co wa kucheza tm kubwa huyo, ngoja aje utaamini ninachosema.
Kwajinsi anavyocheza mechi za United wewe ungempa muda ukamwacha nje Greenwood?Tatizo kocha hampi muda, eti mtoto wkt kina Messi na Ronaldo ktk huo umri walikuwa tayari wanategemewa.
Sasa hivi winga wa kulia mwenye uwezo zaidi ya Sancho ni nani ?Hakika MKUU,,hana maajabu yeyote kwa man u,,
Tutaendelea kusubiri ubingwa kwa kuwatetegemea wachezaji kama hao.
Hakuna kitu kivipi ?Huyo Dogo hakuna kitu.
Sergei Gnabry na Riyadh MahrezSio wa kucheza timu kubwa umetumia kigezo gani mkuu? Sancho kwa sasa kwa upande wa kulia hana mpinzani stats zinazungumza.
Kama tunataka kuwa mabingwa basi tutafute watu waliowiva tayari.Hakuna kitu kivipi ?
Hakika MKUU,,sacho anajuwa snaSasa hivi winga wa kulia mwenye uwezo zaidi ya Sancho ni nani ?
Nani ataziba pengo la Pogba ?Kama tunataka kuwa mabingwa basi tutafute watu waliowiva tayari.
Dogo nimemuangalia sn bado,,
Anahitaji muda kuiva.
Tena huyo Donny ni bora kuliko huyo.
Man u ni timu kubwa inahitaji wachezaji wakubwa.
Wenye uwezo mkubwa.
Sio kama huyo Dogo.
Kwa upande wa stats za 20/21Sergei Gnabry na Riyadh Mahrez
mkuu sikumaanisha sacho ,Sasa hivi winga wa kulia mwenye uwezo zaidi ya Sancho ni nani ?
Sancho nimemwamngalia sna,Kwa upande wa stats za 20/21
Sergei gnarby
matches 27
Goals. 10
Assists. 6
Sawa na GA ya 16
Mahrez
matches 27
Goals. 9
Assists. 6
Sawa na GA ya 16 pia
Sancho
matches 38
Goals. 16
Assists. 20
Hivyo ana GA ya 36
Tukingalia Umri pia, tukianglia aina ya timu aliyopo, na kuwa fit hadi kucjeza hizo mechi 38 namchukua Sancho
Chelsea kachukua ubingwa na Kai Harvetzmkuu sikumaanisha sacho ,
,nilimaanisha yule Dogo mfaransa Eduardo Camavinga..
Hastahili kuja kutupa ubingwa man u.
Pogba pia hapaswi kuuzwa..Nani ataziba pengo la Pogba ?