Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Hakuna muingereza atakupatia ubingwa.

Hawa jamaa wapo overpriced and overrated sana.

Rashford kiwango kimeshuka, sioni sababu ya kuendelea kukaa United. Auzwe tutafute mchezaji mwingine.

Pale OT kulitakiwa kuwe uwanja wa elites tu.
Daah ila haya matahira ya kingéreza babu aliyajulia sana .........
 
Timu yetu inasifikaga ina pesa kuliko zote duniani mara inaingiza oesa nyingi kuliko club zote, ila haijawahi onesha hilo hata siku moja......

Sijawahi ona msimu timu inasajili wachezaji wa paund mil 100 wawili waviwango vya juu na kuongeza beki wa paund mil 70 .....je tunajiita timu kubwa yenye hela kwa vigezo gani maana hata uwanja haujafanyiwa marekebisho muda mrefu imebaki historia tu pale OT......

Kwasasa ni dhahiri Manchester sio club kubwa bali ni club kongwe, hatuna maamuzi wala watu wazoefu wakuitwa experts wa timu kubwa kuanzia kocha hadi wachezaji baadhi.....

Hivi mchezaji kama Aguero anatolewa manchester tunaweza mtoa hata pogba umri ukifika.....Timu kubwa imejoficha kwenye kichaka cha rebuild kila msimu wanatumia paun mil 200 au 150 kwa wachezaji 4 au 5 alafu tunajiita timu kubwa how......

Timu yetu sio timu kubwa na yenye pesa.....kama tungekuwa timu kubwa na yenye pesa tungekuwa na wachezaji 4 au 5 wenye thamani ya mil 100 kwenye kikosi ila sidhan kama wanazidi 2......

Hapo unasikia timu imeshindwa msajili Dias kwa sababu wanaamini paund 25 ndio sahihi (refer msimu uliopita).....wanaamini Haaland sio mchezaji wa thamani ya paund mil 40 (plus add ons plus hela za wakala na blah blah nyngne) sasa ukubwa na utajiri wa timu uko wapi kama sio kuwekeza kwenye miundombinu ya uwanja na wachezaji wazuri....

Hatujawaji kumgombania kocha aliekwenyepick tukaweza kumleta OT ndio maana tumeridhika na Ole.....

Kweli man u ni ya kufungwa fainal na Villareal Kwa mechi ile?

Kuanzia kocha, wachezaji nusu yao, wamiliki na staff wengine wote ni watu wasiosahihi kuwepo klabuni.....

hivi unashindwa nini kumtoa Ole aliefeli na ukamleta Conte aliefree na ukampatia paund mil 300 akuletee ubingwa.
Ubingwa Kama huu mkuu??
JamiiForums803633169.jpg
 
Hakuna muingereza atakupatia ubingwa.

Hawa jamaa wapo overpriced and overrated sana.

Rashford kiwango kimeshuka, sioni sababu ya kuendelea kukaa United. Auzwe tutafute mchezaji mwingine.

Pale OT kulitakiwa kuwe uwanja wa elites tu.
@Bavaria : unafikiria nini kuhusu Coman wa Buyern?
 
hili jambo niliwahi kuliwazia

#mufc are thinking of playing Aaron Wan-Bissaka at centre-back in pre-season. Solskjær is keen to see if he could handle the position #mulive [@reluctantnicko]
Atleast tutaona hata Ole anatumia akili kidogo..physicality na kimo cha AWB sio kibaya.
 
Hakuna muingereza atakupatia ubingwa.

Hawa jamaa wapo overpriced and overrated sana.

Rashford kiwango kimeshuka, sioni sababu ya kuendelea kukaa United. Auzwe tutafute mchezaji mwingine.

Pale OT kulitakiwa kuwe uwanja wa elites tu.
Shida ni hawa wachezaji wa Kiingereza wanaolelewa Kistar..kuna watu wanapiga kazi mbona fresh tu,inabidi tutumie umakini kuwaona.. Watu kama Phil Foden,Mason Mount,Kane displine yao kwenye mchezo ni ya tofauti kabisa.

Kuwa Muingereza sio tatizo..Scholes,Rooney,Ferdinand,Carrick hawa wote Waingereza
 
Shida ni hawa wachezaji wa Kiingereza wanaolelewa Kistar..kuna watu wanapiga kazi mbona fresh tu,inabidi tutumie umakini kuwaona.. Watu kama Phil Foden,Mason Mount,Kane displine yao kwenye mchezo ni ya tofauti kabisa.

Kuwa Muingereza sio tatizo..Scholes,Rooney,Ferdinand,Carrick hawa wote Waingereza
Jombaa, Waingereza ni wachezaji wanaokuzwa mno usiwaamini. Mimi ni moja kati ya mtu ninaopinga sana usajili wa wachezaji wa kiingereza based on observations kuna kipindi nilichowahi kuandika hapa huwa wanakuwa-evaluated kwa vipindi vifupi ktk career zao.

Kwa soka la sasa, Usiniulize nimetumia kanuni gani ila ukiwa na wachezaji wa kiingereza zaidi ya wanne kikosi cha kwanza ktk timu yako yaani ni lazima waanze panga pangua huwezi kushinda taji lolote lile kubwa. Hawana vipaji.

Waingereza tuwapate kwa njia ya kuwapandisha kupitia timu za watoto kama Marcus Rashford na Mason Greenwwood ila sio kupoteza pesa kuwanunua. Nikiona taarifa za Sancho Sky Sports wanavyoaandika upupu kumpamba moyo wangu unanung'unika sana jinsi vyombo vya habari vya kiingereza vinavyotumia platform kutangaza wachezaji wa kiingereza average kila siku.
 
Jombaa, Waingereza ni wachezaji wanaokuzwa mno usiwaamini. Mimi ni moja kati ya mtu ninaopinga sana usajili wa wachezaji wa kiingereza based on observations kuna kipindi nilichowahi kuandika hapa huwa wanakuwa-evaluated kwa vipindi vifupi ktk career zao.

Kwa soka la sasa, Usiniulize nimetumia kanuni gani ila ukiwa na wachezaji wa kiingereza zaidi ya wanne kikosi cha kwanza ktk timu yako yaani ni lazima waanze panga pangua huwezi kushinda taji lolote lile kubwa. Hawana vipaji.

Waingereza tuwapate kwa njia ya kuwapandisha kupitia timu za watoto kama Marcus Rashford na Mason Greenwwood ila sio kupoteza pesa kuwanunua. Nikiona taarifa za Sancho Sky Sports wanavyoaandika upupu kumpamba moyo wangu unanung'unika sana jinsi vyombo vya habari vya kiingereza vinavyotumia platform kutangaza wachezaji wa kiingereza average kila siku.
Sancho uwezo anao au hana?..tuachane na price tag kwanza..

Mbadala wa Sancho ni kama nani na bei zao vipi?
 
Sancho uwezo anao au hana..tuachane na price tag kwanza..

Mbadala wa Sancho ni kama nani na bei zao vipi?
Transfer market wamemrate Coman kama 65ml Euros na Sancho 100euros ila goals plus assist Sancho anamfunika mbali sana Coman kwa misimu 3 mfululizo......

Naonaga coman anakimbia tu kama james sema yeye anawahi sana kutoa cross.....
 
Hivi Pogba akigoma kuongeza mkataba ina maana msimu ujao ataondoka bure sio?.

Tukimwingiza sokoni tutavuta kama kiasi gani hivi?..sidhani hata itazidi £30m.

Frankly speaking akiuzwa wala sitaumia..replacement yake tunaweza kutafuta kiungo mwenye kasi,anayeweza kukaba pia na ambaye offensive yuko poa na mwenye skills.
Eduardo Camavinga.
 
Coman amecheza michezo 29 goals 5 assist 12 sawa na 17goals and assist

wakati

Jadon Sancho amecheza mechi 38 goals 16 assist 20 sawa na 36 goals and assist......

Kama hii haitoshi Sancho ni moja ya wachezaji top 5 walio na goals plus assist 30+ kwa misimu mitatu sasa barani ulaya.
Sancho tunamchukulia poa sana.
 
Sancho uwezo anao au hana?..tuachane na price tag kwanza..
Out of 10, nampa 6. Uwezo wake ni wastani. Hana kipaji kikubwa yupo ktk graph line moja na Marcus Rashford tu. Kwa nini tulipe premium price kwa mchezaji tunaweza kupata mbadala wake sokoni kwa bei pungufu?
Mbadala wa Sancho ni kama nani na bei zao vipi?
Pedro António Pereira Gonçalves (miaka 22), huyu ni mchezaji yupo Sporting Lisbon anacheza nyuma ya mshambuliaji wa mwisho, winga wa kushoto au kulia. Msimu huu amewaongoza Sporting Lisbon kubeba ubingwa wa Ureno toka mwaka 2002 na alikuwa mfungaji bora wa ligi na mchezaji bora pia. Bei yake ni euro 60M.
 
Back
Top Bottom