ze-dudu
JF-Expert Member
- Jul 26, 2014
- 18,428
- 24,145
Daah ila haya matahira ya kingéreza babu aliyajulia sana .........Hakuna muingereza atakupatia ubingwa.
Hawa jamaa wapo overpriced and overrated sana.
Rashford kiwango kimeshuka, sioni sababu ya kuendelea kukaa United. Auzwe tutafute mchezaji mwingine.
Pale OT kulitakiwa kuwe uwanja wa elites tu.


