Timu yetu inasifikaga ina pesa kuliko zote duniani mara inaingiza oesa nyingi kuliko club zote, ila haijawahi onesha hilo hata siku moja......
Sijawahi ona msimu timu inasajili wachezaji wa paund mil 100 wawili waviwango vya juu na kuongeza beki wa paund mil 70 .....je tunajiita timu kubwa yenye hela kwa vigezo gani maana hata uwanja haujafanyiwa marekebisho muda mrefu imebaki historia tu pale OT......
Kwasasa ni dhahiri Manchester sio club kubwa bali ni club kongwe, hatuna maamuzi wala watu wazoefu wakuitwa experts wa timu kubwa kuanzia kocha hadi wachezaji baadhi.....
Hivi mchezaji kama Aguero anatolewa manchester tunaweza mtoa hata pogba umri ukifika.....Timu kubwa imejoficha kwenye kichaka cha rebuild kila msimu wanatumia paun mil 200 au 150 kwa wachezaji 4 au 5 alafu tunajiita timu kubwa how......
Timu yetu sio timu kubwa na yenye pesa.....kama tungekuwa timu kubwa na yenye pesa tungekuwa na wachezaji 4 au 5 wenye thamani ya mil 100 kwenye kikosi ila sidhan kama wanazidi 2......
Hapo unasikia timu imeshindwa msajili Dias kwa sababu wanaamini paund 25 ndio sahihi (refer msimu uliopita).....wanaamini Haaland sio mchezaji wa thamani ya paund mil 40 (plus add ons plus hela za wakala na blah blah nyngne) sasa ukubwa na utajiri wa timu uko wapi kama sio kuwekeza kwenye miundombinu ya uwanja na wachezaji wazuri....
Hatujawaji kumgombania kocha aliekwenyepick tukaweza kumleta OT ndio maana tumeridhika na Ole.....
Kweli man u ni ya kufungwa fainal na Villareal Kwa mechi ile?
Kuanzia kocha, wachezaji nusu yao, wamiliki na staff wengine wote ni watu wasiosahihi kuwepo klabuni.....
hivi unashindwa nini kumtoa Ole aliefeli na ukamleta Conte aliefree na ukampatia paund mil 300 akuletee ubingwa.