Al Watani
JF-Expert Member
- Dec 28, 2014
- 21,697
- 32,447
Nilimaanisha tuwape mpunga kidogo na Anthony Martial sisi watupe SonBinafsi hata wakitupa Son bila cha juu naona itakuwa poa sana mara mia.
Son ni sawa na martil na rashford.
Nilimaanisha tuwape mpunga kidogo na Anthony Martial sisi watupe SonBinafsi hata wakitupa Son bila cha juu naona itakuwa poa sana mara mia.
Son ni sawa na martil na rashford.
Sisi tuwape mchezaji tuwalipe na fedhaDuuhh mkuu co cc tuongeze mchezaji na mpunga juu?
Hapo sawa, ila hawatakubali japo ukiangalia kwa jicho la mwewe Martial atawafaa sn.Sisi tuwape mchezaji tuwalipe na fedha
Wachezaji wa 5 kwa financial stability yetu sidhani likely ni wachezaji 3 tupate central back 1 kitasa tupate winger 1 probably sancho na tupate dm 1 probably saul nugezHivi tatizo letu la winger wa uhakika wa kulia litamalizika msimu huu au ndiyo hivyo tuendelee kuwa na matumaini na Amad Diallo ?
Hivi bado tunategemea Nemanja Matic, Juan Mata, Bailly, Lee Grant waendelee kuwa sehemu ya ndoto zetu za ubingwa msimu ujao?
Nafikiri msimu huu ni bora tukafanya usajili mkubwa kuliko kipindi cha nyuma tulivyofanya hasa ukizingatia kikosi chetu kikimkosa Pogba au Bruno uwanjani kinakuwa kikosi dhaifu kuliko hata kikosi cha Burnley au Shelfield United ukichanganya na mapungufu ya mwalimu tunarudi level ya timu ya championship kucheza na timu za epl.
Bila usajili framework yetu msimu ujao haitatufikisha hata top labda tuombee Bruno aendelee kufunga magoli kutuokoa.
Binafsi naona tunahitaji wachezaji watano wa uhakika ili tuweze walau kupambania ubingwa wakati huo huo tuondoe wachezaji watano mpaka sita kuacha nafasi kwa tunaowahitaji.
Tofauti yetu mimi simtukani mtu, na siwezi fanya hivyo kwakuzingatia humu tuko watu wa lika tofauti.
Mimi natania kwa maneno matam hata ninae mtania hawezi kumaindi, na huwa namtania mtu wa aina yangu (mtu wa masihara) sio kila mtu.
" Hatukatai utani, tunakataa matusi"
Ndugu yangu ukisikia ukubwa dawa, sio mpaka utembee na kopo la Panadol.





Saul Niguez siyo DM ni CM tena hata kikosi cha Atletico msimu huu hakuwa regular starter sana.Wachezaji wa 5 kwa financial stability yetu sidhani likely ni wachezaji 3 tupate central back 1 kitasa tupate winger 1 probably sancho na tupate dm 1 probably saul nugez
Tukirudi msimu ujao na kocha na benchi lake lile.Intensity ya wachezaji wetu iko chini sana hasa tukiwa hatuna mpira,Rashford,BF na hata Pogba,huwa hawawezi kufanya pressing ya maana. Wapinzani wakianzisha mpira nyuma lazima kipa wetu au mabeki waokoa lakini imekuwa nadra kuzuia mpira walau nusu ya mpinzani. Atleast Cavan pamoja na umri wake mkubwa anajaribu kukaba kwa kumaanisha,wengine wanakaba kwa kujitoa lawama tu.
Simaanishi kutetea McFred ila wachezaji wetu wa mbele wanachangamka zaidi mpira ukifika miguuni ndio maana McFred wanakuwa exposed kirahisi. Huwa nacheka sana tweets za wachezaji wa man utd kila baada ya kupoteza game "its not the result we wanted but we look forward".
For how fvckn long then?
Hata ulete wachezaji 11 wapya.Hivi tatizo letu la winger wa uhakika wa kulia litamalizika msimu huu au ndiyo hivyo tuendelee kuwa na matumaini na Amad Diallo ?
Hivi bado tunategemea Nemanja Matic, Juan Mata, Bailly, Lee Grant waendelee kuwa sehemu ya ndoto zetu za ubingwa msimu ujao?
Nafikiri msimu huu ni bora tukafanya usajili mkubwa kuliko kipindi cha nyuma tulivyofanya hasa ukizingatia kikosi chetu kikimkosa Pogba au Bruno uwanjani kinakuwa kikosi dhaifu kuliko hata kikosi cha Burnley au Shelfield United ukichanganya na mapungufu ya mwalimu tunarudi level ya timu ya championship kucheza na timu za epl.
Bila usajili framework yetu msimu ujao haitatufikisha hata top labda tuombee Bruno aendelee kufunga magoli kutuokoa.
Binafsi naona tunahitaji wachezaji watano wa uhakika ili tuweze walau kupambania ubingwa wakati huo huo tuondoe wachezaji watano mpaka sita kuacha nafasi kwa tunaowahitaji.
shida itaisha ole akijua Rashford sio striker wakumtegemea
Hahaaaa dah.Yes hili linachangia sana midfield kuwa exposed mara kwa mara kwa sababu front three yetu huwa haiwezi kutunza mpira walau dakika mbili au three successful passes hatuwezi labda kama tunapiga pass kwenda kwa De Gea ambaye nae at anytime anapasia adui.
Yaan muwape martial, spurs wawape son na mpunga kidogoTottenham wamchukue Anthony Martial watupe Son na mpunga kidogo.
kama ni hivyo, hivi vichekesho tunabonyeza ngapi kuvipata vingine