Kweli Rashidi ni mchezaji wa mechi kubwa hilo tumeliona leo walahi . Greenwood, Bruno wote wametupia goli mbili mbili
Villarreal anakufa Leo vzr tu... Mashabiki wa man utd msiwe na waswas kwani nadhani mnafahamu rashford yupo na ni mchezaaji wa mechi kubwa.... Ataweka pia greenwood ataweka na Bruno na cavani pia watatupia mabao...
 
Gunna kama Gunna huyu huyu asiye jua kufanya Sub
Katika makocha waliopo kwenye ramani ya soka kwa sasa kocha wangu bora ni JURGEN KLOPP anafanya kazi ktk mazingira yoyote.


Wanaofuatia

Zinedine zidane
Mikel Arteta
Ole gunna solskjaer
Thomas Tuchel
Mauricio Pochettino.

Wengi mtashangaa Mikel Arteta kukaa hapo ana mbinu nzur sana hana bajeti anatunia nyenzo zilizopo mmiliki wa arsenal ndio anaemfelisha

Pep namuacha sijawahi kumuona akifundisha timu zilizoparanganyika na kuifanya timu moja matata kapita kwenye timu ambazo tayar zina misingi imara.
 
Back
Top Bottom