Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

IMG_20210523_201337_445.jpg
 
Kwani nyie matakataka mnasemaje? Ombeni Mungu tusikutane UEFA msimu ujao.

Kwanza uyo man Shity tunaenda kumlala bao tatu za nguvu.

#CFC
 
MAPUNDA KAMA MAPUNDAAAAAA
cheltako mnaenda kuandika historia ya kufika fainali mbili mkiwa na kocha wenu thomas kimbaumbau na kupoteza zote, nyine na dada zenu, nadhani ifikie hatua sasa msimu ujao muache kushiriki mashindano yoyote ili mjenge uwanja wenu muache kuhamahama kama wadangaji
 
cheltako mnaenda kuandika historia ya kufika fainali mbili mkiwa na kocha wenu thomas kimbaumbau na kupoteza zote, nyine na dada zenu, nadhani ifikie hatua sasa msimu ujao muache kushiriki mashindano yoyote ili mjenge uwanja wenu muache kuhamahama kama wadangaji

timu yao ya kike iliingia final wiki iliyopita ilicharazwa na barcelona wa kike chuma 4 bila
 
IMG_0592.jpg


Ukimtoa lindelof,wan bissaka na grant waliobaki wote watoto wa academy sosha anajiamini sana anaweza kufanikiwa kikosi kilichoanza kuna academy wa nne na bado kashinda mechi
 
Katika makocha waliopo kwenye ramani ya soka kwa sasa kocha wangu bora ni JURGEN KLOPP anafanya kazi ktk mazingira yoyote.


Wanaofuatia

Zinedine zidane
Mikel Arteta
Ole gunna solskjaer
Thomas Tuchel
Mauricio Pochettino.

Wengi mtashangaa Mikel Arteta kukaa hapo ana mbinu nzur sana hana bajeti anatunia nyenzo zilizopo mmiliki wa arsenal ndio anaemfelisha

Pep namuacha sijawahi kumuona akifundisha timu zilizoparanganyika na kuifanya timu moja matata kapita kwenye timu ambazo tayar zina misingi imara.
 
Kwani Kuna mtu anabisha hapa Chelsea hatuendi kubeba UEFA??
Kama hauna akili timamu basi utabisha.
Na tutawashangaza wengi.
#CFC
 
Back
Top Bottom