Papaa Gx
JF-Expert Member
- Oct 10, 2016
- 11,508
- 18,667
We huna akili, unafikiri majina ya wachezaji wakubwa ndio yanacheza? Haya hao PSG wamekosa ubingwa wa Ufaransa mbele ya kikosi ambacho hakieleweki kabisa. Niambie Lille Kuna mchezaji gani wa maana pale
Aiseeeh bora wapigwe leo waikose top four, alafu fainali UEFA wapigwe tena maana Wana mdomo sana.
Yani TT ashindwe kupata mafanikio akiwa na kikosi kikubwa cha PSG aje atambe na Hii Cheltako?
.