Huyu mzee anaipenda sana hii klabu aliyoiletea mafanikio makubwa..
Huyu mzee furguson hua ananikosha Sana mungu ampe umri zaidi
AWB hapaswi kuitwa England?..
Wameitwa beki wanaoshambulia zaidi i.e wa aina moja,siku je akikutana na viberenge kama kina Mbappe AWB asingeweza kutumika?.
Hahaa jamaa anateseka zaidi ya sana.Ila na wewe punguza kuteseka mbona unahangaika sana? Yaani unakosa raha muda wote makasiriko utasema umenyimwa mali za urithi mpira furaha sio makasiriko
Haya mambo ya siasa achana nayo mkuuYaani kuna watu wanafikir kushinda hapa na kutukana kunaweza kupunguza kitu kwenye ile base ya manchester united hata urukeruke na matusi juu kamwe huwez kuangusha brand ya timu
Ndio yale ya jiwe kuwachukia matajir akifikir masikini watainuka![]()







This young boy will be a top player in few years to come hasa akipata timu inayoposses mpira sana au ligi isiyotumia nguvu nyingi kama Spain in his development.
Msimu umeisha bila kufungwa ugenini.
Leo Pogba asianze ili Pale mbele waweTHE DAY IS HERE.
UEFA EUROPA LEAGUE FINAL.
GGMU GGMU GGMU.
Ole sioni akimtupa Pogba benchi kwenye hii fainali..hapo dogo Greenwood atatolewa kafara.Leo Pogba asianze ili Pale mbele wawe
Rashford Cavan Greenwood