Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Humu kuna watu hawaelewi mpira lakini ni mashabiki.

Players wamecheza Alhamis, then Jpili, mnataka wacheze na Leo(Jumanne).
Wakipata majeraha mtampa lawama OLE.


Sent using Jamii Forums mobile app
Hata ukicheza FIFA mnager career mode kwenye play station hivyo vitu unavielewa. Ni sawa kufanywa rotation
 
Kocha yeyote mwenye akili asingerisk wachezaji wake kwaajili ya ligi wakati ligi ili aichukue ni kuombea City apasuke games zote zilizobaki kitu ambacho hakiwezekani na huku kuna fainali ya kumpa kombe.

Mimi naona kafanya maamuzi sahihi.
 
Ubingwa tulisha ukosa kitambo kwasasa tujiandae na fainali, mambo ya kushangilia nafasi ya pili ni upuuzi kwa Man u. Tujipange na kutwaa mataji msimu ujao.
 
Namtafuta yule jamaa anaeitwa Gpili. Popote alipo namsalimia. Pia nilitaka nimpatie matokeo kati ya Leicester na Man united
 
Kocha yeyote mwenye akili asingerisk wachezaji wake kwaajili ya ligi wakati ligi ili aichukue ni kuombea City apasuke games zote zilizobaki kitu ambacho hakiwezekani na huku kuna fainali ya kumpa kombe.

Mimi naona kafanya maamuzi sahihi.
For sure
 
Back
Top Bottom