Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Wakuu hapa kuna kocha hata kama tutafungwa sosha kajitahidi mno
Mbona hakuna muunganiko watu wanacheza tu


Nadhani ulishawahi iona second eleven ya city


Tuanzebe anytime [emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]
 
Yaan ole anaichukia Liverpool ...


Anataka kuhakikisha Liverpool hakai top 4 ..

Kaweka majembe yote bench kwa ajili ya Liverpool ..!
MAJEMBE YAKO BENCHI
20210511_203549.jpg


Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
 
Mbona hakuna muunganiko watu wanacheza tu


Nadhani ulishawahi iona second eleven ya city


Tuanzebe anytime [emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]

City ni city wale toka 2010 hawajah kuwa na timu mbovu ni rahisi kusonga mbele sisi toka 2013 tumevuruga sana mfumo kwa hiki kinachofanywa naona kuna uelekeo
 
Back
Top Bottom