Anakuzwa mno ila sioni kama anaweza kuongeza kitu kikubwa sana kikosini. Halafu usisahau ni mchezaji wa kiingereza mwenye miaka 21 tu usiweke imani kubwa sana pia.
Tutapoteza pesa nyingi kijinga wakati hii €80M inaweza kutupatia wachezaji wawili wa maana. Kama kuna uwezekano ni kheri tupeleke €40M kwa Bayern Munich tumnunue mfaransa Kingsley Coman, 24 years old. (Release clause)
Halafu hiyo €40M nyingine twende Lille tumnunue mdachi mlinzi wa kati anaitwa Sven Bortman anaongoza jahazi la ulinzi akiwa na miaka 21 tu na wanaenda kutwaa ubingwa wa ufaransa msimu huu. Hapa tukiwa na negotiators wazuri tunaweza kumnunua hata chini ya €35M.
Mwingine ni mfaransa Jules Kounde huyu bei yake ni €60M.