Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

IMG_0011.jpg
 
Martial na rashiford wamepata opportunities za kucheza na top class figures hapo utd, na kwenye national teams, hawajifunzi kwa nini. experience sio factor ya muda pekee, fursa ni factor inayo carry significant weight. hao watu ukumbuke mpaka sasa wanapewa nafasi ya kuanza mbele ya cavan.

second, hawana uniformity, ni ma volatile kwelikweli kwenye character zao uwanjani.
kinacho waua ni "individuality" ile kujiona special.
kwamba lazima waonekane wao.
wanashindwa kufaham such profiles hazijengwi siku moja, ni progressive development.

angalia rushford anajiona christian ronaldo pale united lakin hamna kitu.
martial anajikuta messi hata kutoa pass kwa wenzie tatizo. anataka chenga tim nzima.
hii ni childish mentality.

an experienced player like akina messi, c.ronaldo, cavani.. wale ambao wamecheza top level at large stages.. huwez kuta wana behave kijinga hivyo.
wana nidham ndio maana wamefika hapo walipo.

akina rushford na martial ni virse versa. ndio maana viwango havipandi
 
Back
Top Bottom