Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Tungekuwa serious kidogo tu,tungebeba EPL msimu huu..
Kuna kitu kama umegundua Ole anatumia mbinu ambazo haziendani na aina ya wachezaji alionao kikosini. Mechi nyingi anazifanya zionekane ngumu bila sababu ya msingi.

Kwa aina ya wachezaji tulionao inapaswa tucheze offensively zaidi na sio kujilinda na kushambulia kwa kushtukiza. Tukikaba sana huwa tunashambulika kirahisi sana na tuna ukuta mbovu sana.

Kwa maoni yangu anapaswa awe anamtumia mmoja tu kukaba kati ya Fred au Scott juu namba 8 awe anacheza Paul na juu yake namba 10 shimoni Bruno kama kawaida mwisho Cavani upande mmoja Rashford na mwingine Greewood.
 
El Matador
IMG_8478.jpg
 
Imefikia point sasa hawa wachezaji wa team pinzani waende kwa Bruno awape somo la jinsi ya kupiga penati.
Yaani waache kujifunza kw wachezaji wanaoshinda magoli ya video,waende kw huyo mchezaji zwazwa anachojua ni kupga penalt tu.
 
Kuna kitu kama umegundua Ole anatumia mbinu ambazo haziendani na aina ya wachezaji alionao kikosini. Mechi nyingi anazifanya zionekane ngumu bila sababu ya msingi.

Kwa aina ya wachezaji tulionao inapaswa tucheze offensively zaidi na sio kujilinda na kushambulia kwa kushtukiza. Tukikaba sana huwa tunashambulika kirahisi sana na tuna ukuta mbovu sana.

Kwa maoni yangu anapaswa awe anamtumia mmoja tu kukaba kati ya Fred au Scott juu namba 8 awe anacheza Paul na juu yake namba 10 shimoni Bruno kama kawaida mwisho Cavani upande mmoja Rashford na mwingine Greewood.
True

Game kibao tu tumezifanya ngumu kwa kucheza kwa mentality ya kujilindalinda zaidi..
 
Martial na Rashid wanatatizo la kushindwa kumanage pressure ya kuhitajika kufunga. badala ya kucheza mpira wanafilia kufunga. ukimuangalia cavan anavyocheza waweza sema hafai kukaa pale mbele, hana haraka, he is enjoying kuwa fit and playing some passing football. when the real chance to score comes he takes it, and scores.
 
England wana watoto walio moto sio poa

SAKA

FODEN

MOUNT

GREENWOOD
Hawa waingereza mwisho miaka 25 tu. Huwa wanaanza moto ila usiwaamini kufika mbali. Sina takwimu za kitafiti kutetea hoja yangu ila sababu kubwa nahisi wanakuzwa mno na vyombo vyao vya habari kuliko uwezo wao halisi.

Kuna kipindi (2008 ~ 2012) walikuwa na Tom Cleverley, Jack Wilshere, Daniel Welbeck, Daniel Sturridge, Theo Walcott, Jack Rodwell, n.k na wote hawa walikuwa wamezaliwa mwaka 1989 ~ 1992 sawa sawa na hawa wa sasa waliozaliwa mwaka 1999 ~ 2002. Ila sasa hivi wapo vitimu vidogo hata namba hawana.
 
Watu wamesomea mpira miaka ,wanauzoefu na u referee zaidi ya miaka 10 , wameshachezesha mechi zaidi ya 100 ,kuna camera kila kona ,vibendela kila kona ,var zinaangali ..

Wakaamua penalty ....!


Wewe mchoma mahindi wa manzese unapata wapi ubavu wa kusema sio ..


Jitafakari kijana ..
Basi mwambie tu atoe Hilo goli la penati iwe 1:2
 
Kuna kitu kama umegundua Ole anatumia mbinu ambazo haziendani na aina ya wachezaji alionao kikosini. Mechi nyingi anazifanya zionekane ngumu bila sababu ya msingi.

Kwa aina ya wachezaji tulionao inapaswa tucheze offensively zaidi na sio kujilinda na kushambulia kwa kushtukiza. Tukikaba sana huwa tunashambulika kirahisi sana na tuna ukuta mbovu sana.

Kwa maoni yangu anapaswa awe anamtumia mmoja tu kukaba kati ya Fred au Scott juu namba 8 awe anacheza Paul na juu yake namba 10 shimoni Bruno kama kawaida mwisho Cavani upande mmoja Rashford na mwingine Greewood.
Hata mm nikipewa kikosi nitakipanga hivi, kila siku nmekuwa nikiwaambia watu hivi hivi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom