Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Hawa waingereza mwisho miaka 25 tu. Huwa wanaanza moto ila usiwaamini kufika mbali. Sina takwimu za kitafiti kutetea hoja yangu ila sababu kubwa nahisi wanakuzwa mno na vyombo vyao vya habari kuliko uwezo wao halisi.

Kuna kipindi (2008 ~ 2012) walikuwa na Tom Cleverley, Jack Wilshere, Daniel Welbeck, Daniel Sturridge, Theo Walcott, Jack Rodwell, n.k na wote hawa walikuwa wamezaliwa mwaka 1989 ~ 1992 sawa sawa na hawa wa sasa waliozaliwa mwaka 1999 ~ 2002. Ila sasa hivi wapo vitimu vidogo hata namba hawana.
Ila hawa wa sasa kdg wana uwezo wa kweli kuliko hao ukimuondoa Wilshere.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Martial na Rashid wanatatizo la kushindwa kumanage pressure ya kuhitajika kufunga. badala ya kucheza mpira wanafilia kufunga. ukimuangalia cavan anavyocheza waweza sema hafai kukaa pale mbele, hana haraka, he is enjoying kuwa fit and playing some passing football. when the real chance to score comes he takes it, and scores.
ndio hapo uzoefu una play part. cavan ameshacheza at the top stage for a while so he knows. akina rashford na martial bado
 
ndio hapo uzoefu una play part. cavan ameshacheza at the top stage for a while so he knows. akina rashford na martial bado
Martial na rashiford wamepata opportunities za kucheza na top class figures hapo utd, na kwenye national teams, hawajifunzi kwa nini. experience sio factor ya muda pekee, fursa ni factor inayo carry significant weight. hao watu ukumbuke mpaka sasa wanapewa nafasi ya kuanza mbele ya cavan.

second, hawana uniformity, ni ma volatile kwelikweli kwenye character zao uwanjani.
 
Martial na Rashid wanatatizo la kushindwa kumanage pressure ya kuhitajika kufunga. badala ya kucheza mpira wanafilia kufunga. ukimuangalia cavan anavyocheza waweza sema hafai kukaa pale mbele, hana haraka, he is enjoying kuwa fit and playing some passing football. when the real chance to score comes he takes it, and scores.
Interesting observation
 
Back
Top Bottom