Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Liverpool kipigo bado kinawahusu
PSX_20210506_124658.jpg
 
[OptaJoe] 3 - Manchester United will face Aston Villa, Leicester & Liverpool in the space of five days between 9-13th May, the first time they've played three league games in five days since April 1992. Busy.
 
chief, hapo kwenye udhaifu wa vikosi umeegemea kwenye eneo la matumizi ya kifedha au viwango vya wachezaji husika aliowafundisha?
hii ndio list ya wachezaji wa Inter milan waliocheza takribani mechi 20 za msimu wa 2009/2010.
wenye wino mwekundu wamesajiliwa na jose mourinho

julio cesar, ivan cordoba, zanetti, matterazzi, walter samuel, lucio, maicon, chivu, stancovic, sneijder, muntari, stankovic, cambiasso, vieira patrick, etoo, millito, pandev, ballotelli na thiago motta.

kumradhi kwa mfano nitakao utoa:
laiti kama hao wachezaji wangelikuwa wanajishughulisha na sanaa ya maigizo ya pornography huku jinsia zao zingelikuwa na za upande wa kike bila ya shaka wangeliitwa Milfs, kwa maana ya kwamba ni jamii ya watu wenye uzoefu mkubwa sana na kazi wazifanyazo kwa muda mrefu kwenye hiyo tasnia bila ya kusahau wastani wa umri wao unaakisi sifa hiyo (wengi wao walivuka miaka 27).

kwa mtazamo wangu Jose hakukutana na kundi la wachezaji dhaifu bali alikutana na kundi la wachezaji waelewa, waliokubali kwa pamoja kumuelewa jose kwa kile anachofundisha na anachokisimamia, pia naye jose alikubali kuzielewa hisia na firka za wachezaji wake anaowasimamia na bahati njema zaidi wengi wao waliendana kwa urahisi na mfumo wa ufundishaji wa jose (kama angelikuwa guardiola na system yake naamini angelishindwa kwa kundi hilo).

hao jamaa tayari walishakuwa na sura, fikra na mioyo ya mapambano takribani wote ila walikosa mtu sahihi wa kulainisha mashine za viungo vyao na ndio maana wakaonekana dhaifu, alipoondoka jose ule ugonjwa ukawarudia tena.

Pale real madrid alishindwa kuchukua champions league ni kwa sababu ya kudra tu za maulana (hususani ule msimu aliovunja rekodi kibao pale la liga yeye na timu yake) na si kwa sababu ya ufinyu wa kikosi au ulegevu wa wachezaji wake.
Wachezaji wakuweza kumpa makombe Mourinho ni wale waliozaliwa early 1990s kurudi chini.

Hao wengi wao walikuwa na vipaji halisi vya mpira badala ya kizazi hiki cha academy.

Kingine ukiangalia signing za Mourinho huwa ni za wachezaji waliokomaa kifikra na kiumri kwa sababu anatambua namna ya kuwamanage vizuri na kumpa matokeo.

Kikosi cha Intermilan cha Mourinho siyo kwamba hakikuwa na wachezaji bora hapana walikuwa bora sana lakini walikuwa wanaelekea mwisho tu wa career zao.

Kikosi cha sasa cha AS Roma huenda kikapata mafanikio chini yake kwa sababu ya aina ya wachezaji wa kitaliano ni well disciplined kwenye football kuliko nchi yoyote Europe lakini Italy inapokea wachezaji wengi sana kutoka Ulaya mashariki na bara la America kusini ambao wanafit sana kwenye mifumo ya Jose
 
Watu wanaidharau sana chelsea ila mourinho ameacha mizizi ya aina yake pale na haitakuja kung'olewa kamwe........
Hata mimi huwa naamini chelsea ni timu ngumu zaidi kucheza nao kuliko timu yoyote epl kwa muda wote hata kama hawako vizuri.

Their style of play ni tofauti na timu zote kubwa za epl.
 
Chelsea watoto wao wanajituma sana tofauti na wa kwetu..shida yao ni kuwa wanapoteza chansi nyingi sana za kufunga.
Watoto wapi?
Kipa mendy anaenda ubabu

Beki na Madrid, silva babu, Rudiger anakaribia ubabu, Azpi nae Babu, Christie Sen na Chilwell ndio wana 25 na 24.

Ukija midfield kante babu, jirginho anakaribia ubabu.

Wachezaji pekee Ambao wana qualify kuwa ni watoto ni pulisic na mount tu.

Kikosi cha wachezaji 11 wawili wakiwa watoto ni Kikosi cha watoto?
 
Watoto wapi?
Kipa mendy anaenda ubabu

Beki na Madrid, silva babu, Rudiger anakaribia ubabu, Azpi nae Babu, Christie Sen na Chilwell ndio wana 25 na 24.

Ukija midfield kante babu, jirginho anakaribia ubabu.

Wachezaji pekee Ambao wana qualify kuwa ni watoto ni pulisic na mount tu.

Kikosi cha wachezaji 11 wawili wakiwa watoto ni Kikosi cha watoto?
255755494306_status_b29e353c764241dd8cb19eac208bcef6.jpg
 
Back
Top Bottom