Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Mdau usiwadharau hao kwangu mimi ndio timu pekee pale uingereza inayoweza kuhimili mashambulizi dk ya kwanza mpaka tisini na ukaondoka bila kupata bao
Siyo nawadharau as in ni vibonde ila mi niliamini chelsea alitakiwa kumaliza game ile first leg kwakua Madrid alicheza formation hata haijui hana uzoefu nayo kutokana na majeruhi.

Leo akicheza 4 3 3 kazi haitakua nyepesi
 
hii Man city ya sasa hivi ilivyo moto, halafu unasikia mtu anakwambia Ole hana mbinu, mumemuona kocha wenu Pochetino? wamepigwa na 0 short on target. pengine na ligi wasibebe.
Mkuu umeongea kweli kabisa, jana niliangalia walivyocheza PSG, City angecheza na Man united angekaaa vizuri kabisa.

Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
 
Siyo nawadharau as in ni vibonde ila mi niliamini chelsea alitakiwa kumaliza game ile first leg kwakua Madrid alicheza formation hata haijui hana uzoefu nayo kutokana na majeruhi.

Leo akicheza 4 3 3 kazi haitakua nyepesi
Ile game ilibidi Chelsea waimalize first half..leo wakifanya ule utopolo Madrid anaweza kutumia kismati chake cha Uefa kwenda fainali wakati ni wabovu tu.
 
Mkuu umeongea kweli kabisa, jana niliangalia walivyocheza PSG, City angecheza na Man united angekaaa vizuri kabisa.

Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
Kwa hii miaka mitatu nadhani Pep huwa hapendi kabisa kukutana na sisi..wameshindashinda hizi nusu fainali za carabao otherwise kwenye mechi za ligi tumewasumbua sana..
 
Ile game ilibidi Chelsea waimalize first half..leo wakifanya ule utopolo Madrid anaweza kutumia kismati chake cha Uefa kwenda fainali wakati ni wabovu tu.
Ila wakimbana Benzema Madrid watahemea mpira.
 
Man Utd owner Avram Glazer has refused to apologise to fans over the disastrous attempt to form a breakaway European Super League, when approached by Sky News."


Atuachie tu timu yetu na nywele zake zilizoanzia kisogoni
 
Lazio are targetting Juan Mata on a free transfer at the end of the season. They have offered him a 2-year contract with the option of an extra year, and a salary of €4M/year net whereas the player wants €5M/year net. [La Repubblica via
@footballitalia]
 
Back
Top Bottom