Na DVBBailly anaanza leo
Wakuu naomba link ya kuangalia online tafadhali.....
Asante sana ndugu yangu nashukuru nimeona link...
Poa chief,,from a Chelsea fanAsante sana ndugu yangu nashukuru nimeona link...


Hongera sana mkuu naona mpo Final sisi tunaingia Final leo....Poa chief,,from a Chelsea fan![]()
Kila la heriHongera sana mkuu naona mpo Final sisi tunaingia Final leo....
Asante sana hivi unabadilisha vipi language hapo??Kila la heri
Angalia kwa kiarabu tu chief,mi nishazoea kwani matangazo ya English hayako stable wanazima muda wowote.Asante sana hivi unabadilisha vipi language hapo??
Asante sana kiongozi wala hamna neno kabisaa na ni sawa kabisaaa....wacha niangalie tu kwa kiarabu...Angalia kwa kiarabu tu chief,mi nishazoea kwani matangazo ya English hayako stable wanazima muda wowote.
Na jamesAmad Diallo na Fecundo Pellistri hawana maana tena ?
Kuwa mvumilivu mkuu, unakumbuka Henry wkt anaenda Arsenal? Km Wenger asingekuwa mvumilivu c angeshamuuza? Au Fred?Huyu Van de Beek tumepigwa...TUMEPIGWA KWELI KWELI. Mwisho wa msimu arudi tu kule alikotoka.
Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
Kwa james sihitaji uvumilivu kabisaaaaKuwa mvumilivu mkuu, unakumbuka Henry wkt anaenda Arsenal? Km Wenger asingekuwa mvumilivu c angeshamuuza? Au Fred?
Sent using Jamii Forums mobile app
Nawewe si ukaze makalio huko kwa unai uingie fainali.....Mnawaonea wenzenu