Rutashubanyuma
JF-Expert Member
- Sep 24, 2010
- 219,504
- 911,249
Hajawahi lala njaa huyu mwambakumekucha jamani
José Mourinho is the new AS Roma manager. He has signed until June 2024. Maurizio Sarri has never been an option
Babu vp tena hutaki jirani wachukue uefa
Kuna ule uzi wa kama unapata faida ya elfu 30+ kwasiku....nahisi mourinho anaweza tupa tips za kupata vipesa viwili vitatu bila kulala njaaHajawahi lala njaa huyu mwamba
roma are back....anaweza wapa kituKibarua chake kinaanza msimu ujao.Mourinho alhamisi tutakutana nae kwahiyo?
Msimu ujao roma wana jambo lao maana watawakuta inter na juve washajichokea na wazee wao......Kuna ule uzi wa kama unapata faida ya elfu 30+ kwasiku....nahisi mourinho anaweza tupa tips za kupata vipesa viwili vitatu bila kulala njaaroma are back....anaweza wapa kitu
City anaongoza huko naamini kesho madrid ajiandae kuwashiwa moto kweli kweli
Chelsea hatoboiCity anaongoza huko naamini kesho madrid ajiandae kuwashiwa moto kweli kweli
CHIEF MKWAWA NJOO UMUONE PEP MAHABA ANAVYOJIFICHA KUMPONDA MOURINHO NAKATI PEP NDIYE ALIYETUMIA PESA NYINGI SANA UK KTK KUSAJILI HADI ALITAKA KUFUNGIWA NA FIFA MWAKA JANA.Hivi Jose bado anataka kuthibitisha nini kwenye ulimwengu wa soka baada ya mafanikio aliyokwisha yapata?
Kimbinu,namuona kama hana jipya baada ya kuibuka kwa kundi la mameneja wengi vijana wanaofundisha soka la mbinu pamoja na burudani.
Kama ilivyo kwa Pep,nguvu kubwa ya Mou iko katika matumizi makubwa ya pesa ili kutengeneza timu ya ushindani. Kwa Roma hii pamoja na vilabu vingi vya serie A,kwa sasa uchumi wao hauwezi kumbeba kufanikisha hilo.
Kwa sasa uchambuzi ungemfaa zaidi.
Mdau usiwadharau hao kwangu mimi ndio timu pekee pale uingereza inayoweza kuhimili mashambulizi dk ya kwanza mpaka tisini na ukaondoka bila kupata baoChelsea hatoboi
Jamaa huko wanajuta kujiingiza kwenye esl maana imeibua majanga kweli kweliA group of #mufc supporters have written a letter to the club's sponsors asking them to end their business deals with the club. They warned them that they are "legitimate targets" because of their association with the Glazers. [@TimesSport]
View attachment 1773770
mara zote mbili mou alizochukua UEFA kabeba na timu zenye vikosi dhaifu (porto na Inter), na amefeli na Man u, chelsea na Madrid, hivyo hela sio kigezo sana kwake kama mnavyofikiri bali aina ya wachezaji.Hivi Jose bado anataka kuthibitisha nini kwenye ulimwengu wa soka baada ya mafanikio aliyokwisha yapata?
Kimbinu,namuona kama hana jipya baada ya kuibuka kwa kundi la mameneja wengi vijana wanaofundisha soka la mbinu pamoja na burudani.
Kama ilivyo kwa Pep,nguvu kubwa ya Mou iko katika matumizi makubwa ya pesa ili kutengeneza timu ya ushindani. Kwa Roma hii pamoja na vilabu vingi vya serie A,kwa sasa uchumi wao hauwezi kumbeba kufanikisha hilo.
Kwa sasa uchambuzi ungemfaa zaidi.
Kwanza nitag kwenye uzi wenu we shwainWeka tundu uone kazi.
#CFC![]()