Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Hivi Jose bado anataka kuthibitisha nini kwenye ulimwengu wa soka baada ya mafanikio aliyokwisha yapata?
Kimbinu,namuona kama hana jipya baada ya kuibuka kwa kundi la mameneja wengi vijana wanaofundisha soka la mbinu pamoja na burudani.
Kama ilivyo kwa Pep,nguvu kubwa ya Mou iko katika matumizi makubwa ya pesa ili kutengeneza timu ya ushindani. Kwa Roma hii pamoja na vilabu vingi vya serie A,kwa sasa uchumi wao hauwezi kumbeba kufanikisha hilo.
Kwa sasa uchambuzi ungemfaa zaidi.
CHIEF MKWAWA NJOO UMUONE PEP MAHABA ANAVYOJIFICHA KUMPONDA MOURINHO NAKATI PEP NDIYE ALIYETUMIA PESA NYINGI SANA UK KTK KUSAJILI HADI ALITAKA KUFUNGIWA NA FIFA MWAKA JANA.

Sent from my CPH2185 using JamiiForums mobile app
 
Anthony martial amefunga magoli manne msimu huu, magoli mawili kati ya hayo amefunga dhidi ya southampton siku tuliopata ushindi wa magoli 9.
==================
Anthony Martial resumed collective training yesterday. He is unlikely to be in the squad to face Roma or the game against Aston Villa, but he has a good chance of being ready for the final games of the season
 
A group of #mufc supporters have written a letter to the club's sponsors asking them to end their business deals with the club. They warned them that they are "legitimate targets" because of their association with the Glazers. [@TimesSport]

1620083166654.png
 
A group of #mufc supporters have written a letter to the club's sponsors asking them to end their business deals with the club. They warned them that they are "legitimate targets" because of their association with the Glazers. [@TimesSport]

View attachment 1773770
Jamaa huko wanajuta kujiingiza kwenye esl maana imeibua majanga kweli kweli
 
Hivi Jose bado anataka kuthibitisha nini kwenye ulimwengu wa soka baada ya mafanikio aliyokwisha yapata?
Kimbinu,namuona kama hana jipya baada ya kuibuka kwa kundi la mameneja wengi vijana wanaofundisha soka la mbinu pamoja na burudani.
Kama ilivyo kwa Pep,nguvu kubwa ya Mou iko katika matumizi makubwa ya pesa ili kutengeneza timu ya ushindani. Kwa Roma hii pamoja na vilabu vingi vya serie A,kwa sasa uchumi wao hauwezi kumbeba kufanikisha hilo.
Kwa sasa uchambuzi ungemfaa zaidi.
mara zote mbili mou alizochukua UEFA kabeba na timu zenye vikosi dhaifu (porto na Inter), na amefeli na Man u, chelsea na Madrid, hivyo hela sio kigezo sana kwake kama mnavyofikiri bali aina ya wachezaji.

mou ni kocha ambaye akikutana na wachezaji lege lege wenye "ubitozi" wa kutosha timu inamshinda, ila wachezaji wa kizamani wale ambao hata ukiwafokea una wamotivate anakupa matokeo.
 
Back
Top Bottom