Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

WAPENZI WA SIMBA (NA WANA SOKA WOTE) AMBAO MKO MBALI NA TV ZENU/MABANDA UMIZA, karibuni niwapatie app ya azam tv mjionee soccer live na vipindi vingine vingine from azam tv channels.

Ni rahisi kujiunga

Gharama ni Tshs elfu 6000.

Ukijiunga leo haujiungi tena wala kulipia tena.
 
Oyaa nyie mnaweza kutowa draw na Madirid Tena Bernabeu?
Sasa ngoja waje darajani...
sisi man utd hatuna timu ya kupambana na real madrid, jana mulikuwa munatengeneza triangle za hatari pindi munapoizika pressing yao.
  • pasi za haraka
  • mabadiliko ya haraka ya mpira
  • mara kibao muliwafanyia counter attack za kihuni
kiufundishaji bwana thomas tuchel amefanya mabadiliko mazuri ndani ya muda mfupi
 
Oyaa nyie mnaweza kutowa draw na Madirid Tena Bernabeu?
Sasa ngoja waje darajani...
Unaona ulivyotahira kwa iyo pale unaona ndio bernabeu?


Man city pekee ndio waliweza kumchapa Madrid nje ndan tena pale pale Santiago bernabeu ...


Nyie mnakuja kuvunjwa hapo darajani next week ..


Nawataman hao Madrid tukutanr final ...
 
sisi man utd hatuna timu ya kupambana na real madrid, jana mulikuwa munatengeneza triangle za hatari pindi munapoizika pressing yao.
  • pasi za haraka
  • mabadiliko ya haraka ya mpira
  • mara kibao muliwafanyia counter attack za kihuni
kiufundishaji bwana thomas tuchel amefanya mabadiliko mazuri ndani ya muda mfupi

Mkuu umeongea kisoka sana. Nakupa big up. Ngoja tusubiri second leg sasa. Manake watu walikuwa na mtazamo hasi kwa Chelsea kuwa atapigwa magoli ya kutosha🤪🤪
 
Unaona ulivyotahira kwa iyo pale unaona ndio bernabeu?


Man city pekee ndio waliweza kumchapa Madrid nje ndan tena pale pale Santiago bernabeu ...


Nyie mnakuja kuvunjwa hapo darajani next week ..


Nawataman hao Madrid tukutanr final ...

Hutaki tena kukutana na Chelsea baada ya kuogopa The Blues


Wewe si ulisema tunaenda kufungwa Huko?
Kuwa na msimamo. Kama wameshindwa kutufunga kwako kwetu wataweza?
 
Sisi wanaume tunajadili wababe wa ulaya UEFA nyie mpo Europa

Kama hii team sio takataka ni nin sasa
 
Back
Top Bottom