Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Sote tunajua mashabiki ndio kìla kitu kwenye biashara ya soka....
Asa ukitembea na bango kwamba glazers out , alafu bado unaingia uwanjani, jezi unanunua, mechi unaangalia na mambo yote ya kuingizia timu kipato unayafanya, inafaida gani sasa kutembea na mabango.
Wakigomea kuisupport ndio kutakuwa na effect sio kutembea na mabango "Glazers out"....
Huu ujumbe umeelekezwa kwa nani? Maana kama mmiliki humtaki nani akuskilize?
Wazungu nao uwezo Wa kufikiri ni Mdogo!
 
✓Rashford ana matatizo gani?..hana self motivation kabisa mechi hizi za karibuni.

•••Ole ampumzishe kidogo maana hajitumi,anacheza kama hataki au kalazimishwa.

✓ James is useless

✓Msimu ujao itakuwa ni kosa kubwa sana kuendelea kuwategemea Fred na McTominay kwenye double pivot mpaka tunapocheza na timu zilizopanda daraja..McTominay hayupo sharp,Fred anadakwa na wapinzani kila muda..yaani tafrani..tunahitaji improvement kubwa kwenye hili eneo.


========

NUSU FAINALI YA EUROPA LEAGUE..yaani tukishindwa kwenda nusu fainali inabidi Socha ajiuzulu au afukuzwe..simple as that..hatuwezi kucheza nusu fainaili karibia sita consecutively na zote tutolewe,haiingii akilini.
 
Mzozano wa Rais wa UEFA na Rais wa Real Madrid unaweza kutupa fursa nzuri ya kushinda kesho kwa sababu inavyoonekana, kocha wa Real Madrid na wachezaji hawako settles kabisa. Matokeo ya hivi karibuni kwenye Laliga ni mojawapo ya evidence kwamba Madrid hakuko shwari
Hili ni jukwaa la timu ambayo haina uwanja wala hati miliki ya jina lake a.k.a chelsea?
 
We jipe moyo tu ila kesho ndo utajuwa Madrid pako shwari au la hasha
Mzozano wa Rais wa UEFA na Rais wa Real Madrid unaweza kutupa fursa nzuri ya kushinda kesho kwa sababu inavyoonekana, kocha wa Real Madrid na wachezaji hawako settles kabisa. Matokeo ya hivi karibuni kwenye Laliga ni mojawapo ya evidence kwamba Madrid hakuko shwari
 
Nyie matakataka kesho tunaenda wafundisha mpira yale mazee pale Madirid, munakaribishwa Sana muje kuona pira biriani, pira mchanganyiko na kachumbari hehehe..
Huu mwaka mtajamba cheche nawaambia maana hamtoamini Chelsea anaenda kunyanyua kwapa la UEFA na FA ..nani anabisha?
#CFC
 
Mzozano wa Rais wa UEFA na Rais wa Real Madrid unaweza kutupa fursa nzuri ya kushinda kesho kwa sababu inavyoonekana, kocha wa Real Madrid na wachezaji hawako settles kabisa. Matokeo ya hivi karibuni kwenye Laliga ni mojawapo ya evidence kwamba Madrid hakuko shwari
Jukwaa la Chelsea limefutwa ??
 
Eric Bailly has signed a new deal at Manchester United until 2024, with the option of an extra year. "
174258617_3872174086232081_8308877230540307839_n.jpg
 
Back
Top Bottom