Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Mourinho jana alisema kuwa timu yake haikupaswa kufungwa..sasa mtu unajiuliza ni kitu gani walifanya cha maana kwenye ile game?,unaona hamna chochote..huyu mtu amekuwa mbwa asiye na meno.

Hata mech ya kwanza wanatufunga 6 nilipost hapa mech ikirudiwa hawashindi spurs niliona kadi nyekundu ilivyowasaidia wakat bila kadi walibanwa sana mambo yaliharibika baada ya kadi tu
 
Martial.
Huyu jamaa ni kwamba ana psychological issues.??
Ona hapa.

Kila anapoletwa mchezaji ambae ana compete nae nafasi, performance yake huwa inashuka.

1.Kabla ya Sanchez kuja, mambo yalikuwa mazuri. Ila baada ya hapo.......

2. Kabla ya Cavan kuja, kuna watu kwa ujinga wetu tuliamini hakuna haja ya Harry Kane, Martial anatutosha. Ila sasa kilichotokea msimu huu ni aibu.

3........hii ya tatu ni ujio wa zlatan.


Sent using Jamii Forums mobile app
Huyu jamaa kum-analyse ni kazi kubwa sana..

Kipaji anacho kikubwa sana,nguvu anazo,ashafunga goli za kutumia akili za kila aina kasoro headers tu kama za Cavani..Lakini hatuoni akifanya hii consistently,ni kama anacheza cheza tu kama mbumbumbu
 
★#mufc are the team that have won the most points from losing positions in Europe's top five leagues this season [brfootball]★

#GGMU

manutd |
IMG_20210413_114935_843.jpeg
 
★Luke Shaw on being called ‘Shawberto Carlos’: “I’ll be honest I’ve seen some things on it on social media and sometimes in my group chats my mates send me some stuff and I just laugh about it! I can’t be compared to him, he was unbelievable!”★

#GGMU

manutd |
 
★Luke Shaw: "I think, looking back at when I was growing up and my sort of era, and watching him a lot and basing my game a lot on him and what I wanted to be like as a player, then I would have to say Ashley Cole [was the best left-back]."★

#GGMU

manutd |
 
Nafikiri vingi vinambeba ila Pickford ni proactive kuliko Dean
Jordan Pickford ana makosa mengi sana ya kiufundi ukimlinganisha na golikipa yeyote yule EPL toka ajiunge na Everton mwaka 2017. (Errors leading to goals, 17)

Msimu uliopita pekee alikuwa na errors leading to goals 6 kuliko golikipa yeyote pale EPL. Dean alikuwa na 1 ndiye golikipa pekee msimu uliopita out of 36 games.

Msimu huu pia ana errors leading to goals 3. Yeye na Allison Becker ndio wanaongoza. Kepa, Nick Pope na Meslier wana 2 ila waliobakia wote wana moja moja.

Huwa nashangaa sana kwa nini anaanza mbele ya Nick Pope. Jordan sio golikipa mzuri kiujumla kama unahitaji kushindania makombe. Jordan kitu pekee anachomzidi Dean ni playing time experience ila sio ubora.
 
Back
Top Bottom