Eric Bailly huu ni msimu wa 5 wa Epl, amecheza mechi 100 (120 kwenye mashindano yote.
Pipa na mfuniko
Ana 32 huyu
Waingereza golini wanaanza na nani?..Nick Pope?Niliyoyaona kwa Dean Henderson jana
-Ana attributes za "sweeper keeper". Ametoka golini zaidi ya mara mbili kuokoa hatari. I hope he becomes our Manuel Neuer.
-Ana footwork nzuri(sifa za goalkeeper anazotaka Gurdiola), na distributions yake ni nzuri pia. Nadhani atakuwa msaada kwenye build up ya magoli(mfano lile goli la shaw vs City)
-Kwenye mipira ya cross na corner, naona pia yupo vizuri.
Ana command box lake vizuri(hapa nampa credit, kamzidi De gea)
All in all, bado ana safari ndefu sana. Lkn akiendelea na hii consistency, naamini kwenye EUROS za mwaka huu kuna uwezekano akawa chaguo la kwanza kwenye timu ya taifa
Ni kweli ni heri kumuuza Eric Bailly hata kwa bei ya hasara kuliko kuishi nae kwa matumaini mfuEric Bailly huu ni msimu wa 5 wa Epl, amecheza mechi 100 (120 kwenye mashindano yote.
Auzwe tuu, si wa kumtegemea.
Sent using Jamii Forums mobile app
Poteza mechi nne khalafu tutaongelea hiloNasikia mnataka kuchukuae
Epl wakuu
First choice ya Gareth ni Jordan Pickford, Nick Pope na Henderson.Waingereza golini wanaanza na nani?..Nick Pope?
Kwa kuongeza pia,Henderson yupo strong akiwa anaenda kuwania mpira wa juu..De gea kashakuwa beaten mara kibao kwenye maeneo hayo.
Wafuasi wa Mou wanachungulia na kusepa kwenye huu uzi.Man utd piga kelele popote pale
Timu mourinho wapo kweli,waambie tunawasalim