Darmian
JF-Expert Member
- Oct 1, 2017
- 17,300
- 46,749
Ole naye ni msen.ge tuBora tufungwe tu Ole afanye usajili wa maana.Man inahitaji class players kama wanne.
Mechi ya kwenda nusu fainali unaanza na Telles kama full back dhidi ya Leicester?..unaanza na kilaza VdB??..Kweli?..Matic??
Na wiki ijayo hakuna mashindano..ni international break..unapumzisha watu..

