Saa mbili usiku.Mechi leo saa ngapi ?.
Umri ni tatizo kwa jamaaNi heri Eric Bailly aondoke ili Man United waingie sokoni kutafuta beki mwingine mzuri na asiye na injury records kama Bailly.
Ni ngumu sana kuwa na kikosi imara kama wachezaji wako wengi wanatumia zaidi ya nusu msimu kitandani kutibu majeraha.
Ana mwaka mmoja tu wakushine hapo baada ya hapo unajua mwenyewe kinachofuata....Jesse' Lingard arudishwe haraka sana..![]()
Bora Martial ila Van de beek ni hovyo Sana.. hajiamini mpaka anashindwa hata kutoa pass.NIMEWACHEKA ARSENANE, LAKINI HAPA KWETU TUNA SHIDA KUBWA...MARTIAL NA VAN DE BEEK WAMEANZA TUMEKWISHA..
Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
Fred mbuna kachomaNIMEWACHEKA ARSENANE, LAKINI HAPA KWETU TUNA SHIDA KUBWA...MARTIAL NA VAN DE BEEK WAMEANZA TUMEKWISHA..
Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
Kwahiyo mtafanya comeback au?NIMEWACHEKA ARSENANE, LAKINI HAPA KWETU TUNA SHIDA KUBWA...MARTIAL NA VAN DE BEEK WAMEANZA TUMEKWISHA..
Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
Mkuu upo??Jesse' Lingard arudishwe haraka sana..![]()