Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Vipigo kwenu havijaanzia msimu huu pekee
Ukisemea hivyo, tutahitaji historia za timu hizo tangu kuanzishwa, nani anaongoza kumfunga mwenzie?

Sina utundu wa kwenda kuyafukua makalabrasha, lakini naimani hata wewe unajua kua Arsenal kafungwa mala nyingi na man united kuliko yeye kumfunga.

Nyakati nimepagawa na Man united (1998 - 2013) Arsenal alikua hamfungi Man United, kwenye game 6 unaweza kuta Arsenal kashinda moja.

Tushawapigeni bao 6, tukawapasueni 8 (tena hii juzi tu hapa hata mwanangu wa kwanza keshazaliwa) izo bao nne nne ndio usiseme.

Namkumbuka kuna game Giggs alipiga chenga kijiji cha Arsenal kuanzi kati mpaka golini akapasia nyavu, nakumbuka ilikua FA Giggs akazawadiwa mchezaji bora wa mechi.

Mwisho wenu wa kuchukua ubingwa, nakumbuka mulichukua ubingwa bila kufungwa hata mechi moja, lakini hata hivyo sisi hamkuwahi kutufunga msimu ule , nakumbuka mulirudi tena kwa speed yenu ile ile msimu ulio fuata.

Muliwafunga vibonde wenzenu, lakini mulipo kutana na Man united mulipotea.

Nakumbuka alitupia Van Nesroy na Wayn Roon, tena King Roony ndio ilikua game yake ya kwanza kuichezea Man united dhidi ya Arsenal, Kama sikosei alitupia mbili siku ile.

Nahuo ndio ukawa mwisho wa Arsenal yenye kwenye mafanikio.

Kiufupi Arsenal ndio timu hasimu kwangu kwenye ligi ya EPL sababu kipindi naanza kushabikia soccer Chelsea ilikua na mashabiki wachache sana, Liverpool walipoteana (kama sisi miaka hii) hiyo taka taka Man city hakuna alie tegemea italeta maajabu.

Kwahiyo historia yetu ya miaka ya hapa kati (1998 - 2021) naijua vizuri.

Nyie mumeanza kuota mapembe juzi tu hapa misimu kama minne nyuma, ila chini ya Sorkskjaer naamini tuta yakata hayo mapembe yenu.

Ngoja tutengeneze kizazi cha kina Green wood na wenzake, tuna kuja.

Misimu mitatu mbele mengi tutarudi kwenye ubora wetu, maendeleo hayaji kama mwanga wa tochi.
 
Ukisemea hivyo, tutahitaji historia za timu hizo tangu kuanzishwa, nani anaongoza kumfunga mwenzie?

Sina utundu wa kwenda kuyafukua makalabrasha, lakini naimani hata wewe unajua kua Arsenal kafungwa mala nyingi na man united kuliko yeye kumfunga.

Nyakati nimepagawa na Man united (1998 - 2013) Arsenal alikua hamfungi Man United, kwenye game 6 unaweza kuta Arsenal kashinda moja.

Tushawapigeni bao 6, tukawapasueni 8 (tena hii juzi tu hapa hata mwanangu wa kwanza keshazaliwa) izo bao nne nne ndio usiseme.

Namkumbuka kuna game Giggs alipiga chenga kijiji cha Arsenal kuanzi kati mpaka golini akapasia nyavu, nakumbuka ilikua FA Giggs akazawadiwa mchezaji bora wa mechi.

Mwisho wenu wa kuchukua ubingwa, nakumbuka mulichukua ubingwa bila kufungwa hata mechi moja, lakini hata hivyo sisi hamkuwahi kutufunga msimu ule , nakumbuka mulirudi tena kwa speed yenu ile ile msimu ulio fuata.

Muliwafunga vibonde wenzenu, lakini mulipo kutana na Man united mulipotea.

Nakumbuka alitupia Van Nesroy na Wayn Roon, tena King Roony ndio ilikua game yake ya kwanza kuichezea Man united dhidi ya Arsenal, Kama sikosei alitupia mbili siku ile.

Nahuo ndio ukawa mwisho wa Arsenal yenye kwenye mafanikio.

Kiufupi Arsenal ndio timu hasimu kwangu kwenye ligi ya EPL sababu kipindi naanza kushabikia soccer Chelsea ilikua na mashabiki wachache sana, Liverpool walipoteana (kama sisi miaka hii) hiyo taka taka Man city hakuna alie tegemea italeta maajabu.

Kwahiyo historia yetu ya miaka ya hapa kati (1998 - 2021) naijua vizuri.

Nyie mumeanza kuota mapembe juzi tu hapa misimu kama minne nyuma, ila chini ya Sorkskjaer naamini tuta yakata hayo mapembe yenu.

Ngoja tutengeneze kizazi cha kina Green wood na wenzake, tuna kuja.

Misimu mitatu mbele mengi tutarudi kwenye ubora wetu, maendeleo hayaji kama mwanga wa tochi.
Namalizia kwa kusema wenga sio legend wa aseno miaka yote aliyokaa hapo kabeba epl mbili tu....ndio maana mou alimuita specialist wa kufeli
 
Ukisemea hivyo, tutahitaji historia za timu hizo tangu kuanzishwa, nani anaongoza kumfunga mwenzie?

Sina utundu wa kwenda kuyafukua makalabrasha, lakini naimani hata wewe unajua kua Arsenal kafungwa mala nyingi na man united kuliko yeye kumfunga.

Nyakati nimepagawa na Man united (1998 - 2013) Arsenal alikua hamfungi Man United, kwenye game 6 unaweza kuta Arsenal kashinda moja.

Tushawapigeni bao 6, tukawapasueni 8 (tena hii juzi tu hapa hata mwanangu wa kwanza keshazaliwa) izo bao nne nne ndio usiseme.

Namkumbuka kuna game Giggs alipiga chenga kijiji cha Arsenal kuanzi kati mpaka golini akapasia nyavu, nakumbuka ilikua FA Giggs akazawadiwa mchezaji bora wa mechi.

Mwisho wenu wa kuchukua ubingwa, nakumbuka mulichukua ubingwa bila kufungwa hata mechi moja, lakini hata hivyo sisi hamkuwahi kutufunga msimu ule , nakumbuka mulirudi tena kwa speed yenu ile ile msimu ulio fuata.

Muliwafunga vibonde wenzenu, lakini mulipo kutana na Man united mulipotea.

Nakumbuka alitupia Van Nesroy na Wayn Roon, tena King Roony ndio ilikua game yake ya kwanza kuichezea Man united dhidi ya Arsenal, Kama sikosei alitupia mbili siku ile.

Nahuo ndio ukawa mwisho wa Arsenal yenye kwenye mafanikio.

Kiufupi Arsenal ndio timu hasimu kwangu kwenye ligi ya EPL sababu kipindi naanza kushabikia soccer Chelsea ilikua na mashabiki wachache sana, Liverpool walipoteana (kama sisi miaka hii) hiyo taka taka Man city hakuna alie tegemea italeta maajabu.

Kwahiyo historia yetu ya miaka ya hapa kati (1998 - 2021) naijua vizuri.

Nyie mumeanza kuota mapembe juzi tu hapa misimu kama minne nyuma, ila chini ya Sorkskjaer naamini tuta yakata hayo mapembe yenu.

Ngoja tutengeneze kizazi cha kina Green wood na wenzake, tuna kuja.

Misimu mitatu mbele mengi tutarudi kwenye ubora wetu, maendeleo hayaji kama mwanga wa tochi.
Historically united kaifunga Arsenal mara nyingi kuliko Arsenal kuifunga united ila hiyo misimu unayoisema tumeota mapembe na mimi ndiyo naisema hiyo hiyo.

Kweli kabisa kipindi kile uhasama ilibidi uwe wa united na Arsenal kwakua bado hela za visima vya mafuta hazikua zimeanza kazi. Siku tunasawazisha goli kwa Maguire kumkimbia Auba na ikaitwa offside mpaka VAR ikaonyesha ukweli.

Kile ni kielelezo cha jinsi games nyingi united ilishinda chini ya fergie now kama unamtarajia ole akomeshe run ya Arsenal sioni kama upo sahihi.
 
Historically united kaifunga Arsenal mara nyingi kuliko Arsenal kuifunga united ila hiyo misimu unayoisema tumeota mapembe na mimi ndiyo naisema hiyo hiyo.

Kweli kabisa kipindi kile uhasama ilibidi uwe wa united na Arsenal kwakua bado hela za visima vya mafuta hazikua zimeanza kazi. Siku tunasawazisha goli kwa Maguire kumkimbia Auba na ikaitwa offside mpaka VAR ikaonyesha ukweli.

Kile ni kielelezo cha jinsi games nyingi united ilishinda chini ya fergie now kama unamtarajia ole akomeshe run ya Arsenal sioni kama upo sahihi.
Niko sahihi kabisa, tena kabisa.
Sorkskjaer ndio mkombozi wetu (hapa naamini mpaka naingia kaburini) watu wasichojua kua malengo yako ya haina mbili, yapo ya mda mfupi na muda mrefu.

Kwenye timu yetu baada ya kuondoka Babu Ferguson timu ilia haribika kimtindo chini ya Moys, kumbuka Moys sio mwana Manchester united, ukizingatia Moys alitoka Evaton timu isiyo kua na Pressure.

Alivyo kuja pale akawa na mawenge na timu, kiufupi timu ilimpwelepweta wenye timu yao wakaanza kelele akapita hivi.

Akaja Van gaal, huyu timu ili mfiti kabisa, chini yake kama tungemvumilia (tunge kua na malengo nae ya muda mrefu) saahizi tusharudi kwenye ubora wetu.

Lakini kwa kua tuliamini kwamba mafanikio ni kama mwanga wa tochi tukamtimua.

Hapo ndio tulijichanganya kabisaaaa.

Kimawenge tukaangukia kwa mtu hafanani kabisa na Manchester united, huyu yeye anaamini mafanikio yanakuja kama mwanga wa tochi.

Anaamini akizuia ndio ata pata ushindi, hapo timu yetu ikawa kama uchi wa mtoto kila mtu anauona.

Binafs sikuhawahi kuishabikia Manchester united ya Morinho, tena naomba yasijirudie yale makosa.

Sorkskjaer ndio tumaini pekee pale, angalau sasa kidogo tunaanza kuuona mwanga.

Tukiweka malengo nae ya muda mrefu tuna tusua na ile Manchester united ya Sharp ina rudi.
 
Niko sahihi kabisa, tena kabisa.
Sorkskjaer ndio mkombozi wetu (hapa naamini mpaka naingia kaburini) watu wasichojua kua malengo yako ya haina mbili, yapo ya mda mfupi na muda mrefu.

Kwenye timu yetu baada ya kuondoka Babu Ferguson timu ilia haribika kimtindo chini ya Moys, kumbuka Moys sio mwana Manchester united, ukizingatia Moys alitoka Evaton timu isiyo kua na Pressure.

Alivyo kuja pale akawa na mawenge na timu, kiufupi timu ilimpwelepweta wenye timu yao wakaanza kelele akapita hivi.

Akaja Van gaal, huyu timu ili mfiti kabisa, chini yake kama tungemvumilia (tunge kua na malengo nae ya muda mrefu) saahizi tusharudi kwenye ubora wetu.

Lakini kwa kua tuliamini kwamba mafanikio ni kama mwanga wa tochi tukamtimua.

Hapo ndio tulijichanganya kabisaaaa.

Kimawenge tukaangukia kwa mtu hafanani kabisa na Manchester united, huyu yeye anaamini mafanikio yanakuja kama mwanga wa tochi.

Anaamini akizuia ndio ata pata ushindi, hapo timu yetu ikawa kama uchi wa mtoto kila mtu anauona.

Binafs sikuhawahi kuishabikia Manchester united ya Morinho, tena naomba yasijirudie yale makosa.

Sorkskjaer ndio tumaini pekee pale, angalau sasa kidogo tunaanza kuuona mwanga.

Tukiweka malengo nae ya muda mrefu tuna tusua na ile Manchester united ya Sharp ina rudi.
Nakubaliana na wewe Van Gaal alikua mtu sahihi.

Moyes unayemsema ni tatizo sasa hivi anapaform vipi?

Kisingizio presha. Ole yuko hapo misimu mingapi? Meneja anayejielewa ilitakiwa timu iwe imefika wapi?

Arteta hana muda mkubwa lakini alishaset malengo ya timu na kashaonyesha yeye ndiye boss. Luiz kashakula mkeka alivyoleta utoto, katika game ya derby Auba na Bellerin wakala mkeka.

Pogba ashaonyesha haitaki united. Ole akafanyaje?
 
Nakubaliana na wewe Van Gaal alikua mtu sahihi.

Moyes unayemsema ni tatizo sasa hivi anapaform vipi?

Kisingizio presha. Ole yuko hapo misimu mingapi? Meneja anayejielewa ilitakiwa timu iwe imefika wapi?

Arteta hana muda mkubwa lakini alishaset malengo ya timu na kashaonyesha yeye ndiye boss. Luiz kashakula mkeka alivyoleta utoto, katika game ya derby Auba na Bellerin wakala mkeka.

Pogba ashaonyesha haitaki united. Ole akafanyaje?
Kila mtu ana tatua matatizo kwa style yake, kuna watu ukizingua wana kupanga kwa maneno lakini wengine ukizingua wanakata wanafunua alafu ile poa.

Sorkskjaer ni mpole hata ukiitazama sura yake ni ya huruma.

Wenda pia maamuzi yake ni ya hekma sana tofauti na Arteta anaendeshwa na hasira.
 
Kila mtu ana tatua matatizo kwa style yake, kuna watu ukizingua wana kupanga kwa maneno lakini wengine ukizingua wanakata wanafunua alafu ile poa.

Sorkskjaer ni mpole hata ukiitazama sura yake ni ya huruma.

Wenda pia maamuzi yake ni ya hekma sana tofauti na Arteta anaendeshwa na hasira.
Sawa kaka.

Mimi sina tatizo, tuombe uhai. Tutakua tunakumbushana hapa.
 
No mre racism
PSX_20210323_170500.jpg
 
Back
Top Bottom