Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Dah, ndugu zangu, kuna wenda wazimu wamenii bia simu yangu juzi, nime geuka wakuazima simu tu.

Jana kutwa mzima nimeshinda nikipagawa hivyo kushindwa kujuika humu ndani, leo kwa ushindi huu nimemuazima mchizi boti flani ili nijumuike na wadau.

Tuko pamoja wadau, mwaka huu atukosi kombe angalau moja.

Chengine nawaomba wadau Sorkskjaer tumkubali atatuvusha.
 
Dah, ndugu zangu, kuna wenda wazimu wamenii bia simu yangu juzi, nime geuka wakuazima simu tu.

Jana kutwa mzima nimeshinda nikipagawa hivyo kushindwa kujuika humu ndani, leo kwa ushindi huu nimemuazima mchizi boti flani ili nijumuike na wadau.

Tuko pamoja wadau, mwaka huu atukosi kombe angalau moja.

Chengine nawaomba wadau Sorkskjaer tumkubali atatuvusha.
Na beki maguire ama
 
Dah, ndugu zangu, kuna wenda wazimu wamenii bia simu yangu juzi, nime geuka wakuazima simu tu.

Jana kutwa mzima nimeshinda nikipagawa hivyo kushindwa kujuika humu ndani, leo kwa ushindi huu nimemuazima mchizi boti flani ili nijumuike na wadau.

Tuko pamoja wadau, mwaka huu atukosi kombe angalau moja.

Chengine nawaomba wadau Sorkskjaer tumkubali atatuvusha.
Pole sana mkuu ila hapo kwenye swala la Ole Endelea kumkubali wewe kama Wewe Samahani lakini
 
Endeleeni kushangilia ushindi kwenye ligi ya wakata majani, next ni ligi ya wanaume. Kipigo kiko pale pale
 
Whats wrong with Rashy?.. Baily is super B, ila Ole kwa ubaguzi wake next game atamchezesha yule m scandinavia mwenzie
Nishasemaga kitambo hapa ..Ole ni racist aliyevaa ngozi ya kondoo kumbe ndani ni mbwa mwitu m'baguzi wa kiwango cha lami.
Angalia anaenda kuua kipaji cha Dialo kwa sababu ya uracist wake.

Sent from my SM-A305F using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom