Rutashubanyuma
JF-Expert Member
- Sep 24, 2010
- 219,504
- 911,249
Yes we can win this one too
Cavani ni beki ?
Msimu wa 2021/2022 hatuwezi kumtegemea Cavani,otherwise tuwe tunatania
Hizi mechi ambazo hazionekani Dstv ni matatizo makubwa na hili janga la kupumua kwa shida ndio usiseme kabisa
Ukiondoa Haaland nionyeshe striker yoyote kwenye ligi tano za Ulaya mwenye walau nusu ya uwezo wa Rashford au Martial kwa sasa ambaye unaweza kupeleka pesa ukamsajili.




Mimi sihitaji kutafuta watu wa kuwalinganisha na Rashford au Martial..hawa wote ni wapuuzi na tutaendelea kuwa substandard kwa kuwategema..inabidi tusajili wachezaji wa kutupa magoli na balance ya ukweli..Grealish,Hallaand.Ukiondoa Haaland nionyeshe striker yoyote kwenye ligi tano za Ulaya mwenye walau nusu ya uwezo wa Rashford au Martial kwa sasa ambaye unaweza kupeleka pesa ukamsajili.
Makubwa saana, hii inaonyeshwa na king'amuzi gani channel gan?
GreenwoodCavan sio mchezaj wa plan ndefu tambua hilo mkuu
Ukiondoa Haaland nionyeshe striker yoyote kwenye ligi tano za Ulaya mwenye walau nusu ya uwezo wa Rashford au Martial kwa sasa ambaye unaweza kupeleka pesa ukamsajili.
Greenwood
Grealish mwenyewe hafikii hata nusu ya magoli aliyofunga RashfordMimi sihitaji kutafuta watu wa kuwalinganisha na Rashford au Martial..hawa wote ni wapuuzi na tutaendelea kuwa substandard kwa kuwategema..inabidi tusajili wachezaji wa kutupa magoli na balance ya ukweli..Grealish,Hallaand.