Mim binafs nilijua title contenders ni
Liverpool na man city
Kitendo cha liverpool kupoteana sioni kabisa mwingine wa kutusogelea city...
Mpaka sasa timu inayonipa hofu ni liverpool tu ,man utd haina madhara kabisa kwenye mbio zetu ...
Man utd huwa sina hofi nayo kabisa
Hata tukiwapa game 4 mshinde mchukue epl bado hamna uwezo sasa hiyo ni timu ...
Epl hiyoo inatua etihad kiulain kabisa
Nawakumbusha tu tulipokuwa ,wakat huu spurs alikuwa anashona suti za kusherekea ubingwa hhaaaaaa...
View attachment 1703088