ndiabate
Member
- Feb 7, 2021
- 46
- 39
Ndo mana ya jukwaa huruTumetoa sare wachawi kibao mumejazana, tukifungwa je?
Achani ujinga, timu zenu ziko chini huko, jitahidini muje juu.

Ndo mana ya jukwaa huruTumetoa sare wachawi kibao mumejazana, tukifungwa je?
Achani ujinga, timu zenu ziko chini huko, jitahidini muje juu.

Aisee pale Lindelof ingebidi awe strong fasta asisubirie sana mpira lakini yule nigga alicheza kihuni sana pale..kamfumba macho kabisa..Ni kwasababu beki mzembe, mtu yupo nyuma yako wewe upo mbele ya mpira anapigaje kichwa?
Mpaka tukiwafunga pale Etihad ndiyo utazindukaMim binafs nilijua title contenders ni
Liverpool na man city
Kitendo cha liverpool kupoteana sioni kabisa mwingine wa kutusogelea city...
Mpaka sasa timu inayonipa hofu ni liverpool tu ,man utd haina madhara kabisa kwenye mbio zetu ...
Man utd huwa sina hofi nayo kabisa
Hata tukiwapa game 4 mshinde mchukue epl bado hamna uwezo sasa hiyo ni timu ...
Epl hiyoo inatua etihad kiulain kabisa
Nawakumbusha tu tulipokuwa ,wakat huu spurs alikuwa anashona suti za kusherekea ubingwa hhaaaaaa...
View attachment 1703088
Hivi sokoni kuna kocha gani mwingine wa kututoa hapa tulipo?WHAT DO WE STILL NEED?(AKA A NEVER ENDING STORY)
Kwa upande wangu.
1.Technical quality..
Bado naendelea kuona timu yetu ni poorly coached team..tunahitaji ubora zaidi kwenye hili eneo..Sijui tutalipata vipi kama uwezo wa makocha wetu umefika mwisho pale,kuwatimua maybe?i think no,tupate tena dirisha lijalo then tuone..Ila for the meantime timu yetu bado ni nyepesi hata kipindi tupo form bado ukiangalia mpira unaona kuna mapungufu mengi ambayo hayafanyiwi kazi..tusizuzuke na kuwa nafasi ya pili.
2.Mwarobaini wa kubreak down..
Dawa ya timu zinazocheza low block bado haijapatikana miaka yote hii mitatu ya Ole..Bila kuwa na mchezaji kama Jack Grealish kwenye kikosi chetu next season tutaendelea tu kuwa wakata majani..Pia ni lazima tukubali kuwa McFred partneship as double pivot sio suluhisho..inabidi tutafute DM mmoja mkali ili tupate room ya kum-accomodate kiungo mwingine mbunifu..
3.Defence
Defence yetu pia kwenye upande wa centre back bado pana shida kubwa..huwezi kubeba ligi na partneship inayocheza maboko day by day.
4 .Striking Force..
Tukiweza kuyaacha majina ya Martial na Rashford out of the starting XI kwa mara nyingi next season,hapo ndipo tutaanza kuchallange ipasavyo..So unajua nachomaanisha hapa?,,tushushe vifaa watu wapambanie namba ipasavyo.
Kwenye post yangu hakuna sehemu nimesema tuingie sokoni kutafuta kocha..lakini kama ndo swali lako basi jibu naweza kusema ni Nagelsman wa Leipzig(Tunavunja tu mkataba wake),tukimpata mimi naamini tutaimarika zaidi hapa hapa.Hivi sokoni kuna kocha gani mwingine wa kututoa hapa tulipo?
Hivi Nagelsman ameiva kiasi cha kufundisha club kubwa kama United ?Kwenye post yangu hakuna sehemu nimesema tuingie sokoni kutafuta kocha..lakini kama ndo swali lako basi jibu naweza kusema ni Nagelsman wa Leipzig(Tunavunja tu mkataba wake),tukimpata mimi naamini tutaimarika zaidi hapa hapa.
Ole alikuwa ameiva kiasi gani kuifundisha United aliyoiacha Mourinho?Hivi Nagelsman ameiva kiasi cha kufundisha club kubwa kama United ?
Kwani man united ni club kubwa??Hivi Nagelsman ameiva kiasi cha kufundisha club kubwa kama United ?
Hivi Nagelsman ameiva kiasi cha kufundisha club kubwa kama United ?
Kwenye soka kuna siri kubwa sanaOle alikuwa ameiva kiasi gani kuifundisha United aliyoiacha Mourinho?



Mkuu msimu huu hujanifunagaMpaka tukiwafunga pale Etihad ndiyo utazinduka
kwangu HAPANAHivi Nagelsman ameiva kiasi cha kufundisha club kubwa kama United ?
kwa hili jibu lako kwa mujibu wa swali alilouliza jamaa pale maana yake tuendelee kujaribu tena mpaka apatikane aliyesahihi??Ole alikuwa ameiva kiasi gani kuifundisha United aliyoiacha Mourinho?
Ndiyo maana bado tunaendelea kupiga jaramba pale pale.Ole alikuwa ameiva kiasi gani kuifundisha United aliyoiacha Mourinho?
Hata mimi naamini hivyo,kwangu HAPANA