OllaChuga Oc
JF-Expert Member
- Jul 4, 2016
- 21,933
- 25,245
Mtapata tabu leo
★
Kisingepata ajali hiki kikosi tusingekuwa na CL 3 mpk leo, zingefika hata 6.
★
Nchi za ki Africa nuks kweli.
Huwezi amini hii game leo nitashindwa kuiangalia sababu ya Corona!
Wenye serkali yao (mapolisi) wame chachamaa huko nje, ni full virungu.
Baada ya kuisha game ya Arsenal jamaa wamevamia kibanda umiza na kuanza kutembeza virungu, huku wakisiaitiza watu wavae barakoa.
Hii game nitaifutilia hapa hapa JF.
Babu anchelloti leo ana jambo lake hapo Oldi traffodi
Babu anchelloti leo ana jambo lake hapo Oldi traffodi



Point tatu zetu leo tunapita nazo Everton.
Kila la kheri Ancelotti
Sent from my SM-A305F using JamiiForums mobile app
★Hicho kichapo kimekukuta ukiwa wapi Ndugu???★
Angalia kwenye simu mkuu, install app inaitwa live football au burma tv, hz apa chini, zinapatikana play store, mm mwenyewe leo naangalia kwenye simuNchi za ki Africa nuks kweli.
Huwezi amini hii game leo nitashindwa kuiangalia sababu ya Corona!
Wenye serkali yao (mapolisi) wame chachamaa huko nje, ni full virungu.
Baada ya kuisha game ya Arsenal jamaa wamevamia kibanda umiza na kuanza kutembeza virungu, huku wakisiaitiza watu wavae barakoa.
Hii game nitaifutilia hapa hapa JF.


Hapo ndipo niliposhangaa sana
Angalia kwenye simu mkuu, install app inaitwa live football au burma tv, hz apa chini, zinapatikana play store, mm mwenyewe leo naangalia kwenye simuView attachment 1696237View attachment 1696238
Acha ushamba wewe ina maana hujui kwamba unaweza icheki kwenye cm au shida yako tujue uko nje ya nchiObrigado irmao.