Mtyela Kasanda
JF-Expert Member
- Oct 13, 2018
- 554
- 819
tatizo unaangalia match za united tu, ungekua mshabiki wa astonvilla usingeandika hivi. Martial na Rashford ni generational talents. Grealish hawezi kupiga faulo wala mashuti anayopiga Rashford, wala hana close controls kama za Martial. Kinachomfanya ang'ae huko villa ni ubinafsi na manguvu.Kama mkuu wewe ni kocha unaishusha timu daraja kati ya wote uliowataja hamna wa kumuweka bench jack hapo