Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

IMG_0196.jpg
 
Mkuu jana lingard kacheza vizur sana pengine timu inahitaj ma center foward wenye nguv kama antonio ili hawa watu kama wakina lingard waweze kung'ara.

Pia tunahitaji sana mtu Jack Grealish yaani tusipomsajili mtu kama huyo ntashangaa sana jana nilikuwa naangalia mech yao marudio aisee yupo vizur sana huyo ndio sababu Ollie Watkins anafanya vizur sana
Grealish sawa ila lingard usidanganyike mkuu, hata kocha awe nani hawezi kutufaa chochote, ni average player huyo hawezi pressure ya tm kubwa, ABAKI UKO UKO.
 
Liverpool atagonwa sanaa mana hadi now Clopp hajajua tatizo lake ni nini mana anadhani issue ni back lakini ukweli ni kwamba tatizo la liverpool ni Thiago
Kuwajadili Liverpool kwenye jukwaa la Machester ni matusi makubwa sana.

Hebu achaneni nao mnachafua sired kuwajadili Liverpool nendeni mkawazodoe kwenye jukwaa lao huko.

Mnaupaka mavi uzi wetu
 
Mkuu jana lingard kacheza vizur sana pengine timu inahitaj ma center foward wenye nguv kama antonio ili hawa watu kama wakina lingard waweze kung'ara.

Pia tunahitaji sana mtu Jack Grealish yaani tusipomsajili mtu kama huyo ntashangaa sana jana nilikuwa naangalia mech yao marudio aisee yupo vizur sana huyo ndio sababu Ollie Watkins anafanya vizur sana
Rashford ni FL na Martial ni FLC, Dan James ni FL, Grealish hawezi kuja kuwa chaguo la 3.
 
Kuwajadili Liverpool kwenye jukwaa la Machester ni matusi makubwa sana.

Hebu achaneni nao mnachafua sired kuwajadili Liverpool nendeni mkawazodoe kwenye jukwaa lao huko.

Mnaupaka mavi uzi wetu
Ushindi kidogo tu matusi kibao
 
Back
Top Bottom