Grealish sawa ila lingard usidanganyike mkuu, hata kocha awe nani hawezi kutufaa chochote, ni average player huyo hawezi pressure ya tm kubwa, ABAKI UKO UKO.Mkuu jana lingard kacheza vizur sana pengine timu inahitaj ma center foward wenye nguv kama antonio ili hawa watu kama wakina lingard waweze kung'ara.
Pia tunahitaji sana mtu Jack Grealish yaani tusipomsajili mtu kama huyo ntashangaa sana jana nilikuwa naangalia mech yao marudio aisee yupo vizur sana huyo ndio sababu Ollie Watkins anafanya vizur sana
Sasa hivi hata kutoa pesa zao mfukoni kununua mchezaji hawataki, wanatakaKusajili world class players ndo waligoma kabisa![]()
Most viewed JF sports thread
Kusajili world class players ndo waligoma kabisa![]()
Au jamaa alikuwa anatuchora pale OT
Huyu dogo kila timu anayokwenda debut yake anafunga goli.Lingard - 2 Goals (West Ham)
View attachment 1693857
Chong - 1 Goal (Club Brugge)
View attachment 1693860
Kuwajadili Liverpool kwenye jukwaa la Machester ni matusi makubwa sana.Liverpool atagonwa sanaa mana hadi now Clopp hajajua tatizo lake ni nini mana anadhani issue ni back lakini ukweli ni kwamba tatizo la liverpool ni Thiago
Rashford ni FL na Martial ni FLC, Dan James ni FL, Grealish hawezi kuja kuwa chaguo la 3.Mkuu jana lingard kacheza vizur sana pengine timu inahitaj ma center foward wenye nguv kama antonio ili hawa watu kama wakina lingard waweze kung'ara.
Pia tunahitaji sana mtu Jack Grealish yaani tusipomsajili mtu kama huyo ntashangaa sana jana nilikuwa naangalia mech yao marudio aisee yupo vizur sana huyo ndio sababu Ollie Watkins anafanya vizur sana
Ushindi kidogo tu matusi kibaoKuwajadili Liverpool kwenye jukwaa la Machester ni matusi makubwa sana.
Hebu achaneni nao mnachafua sired kuwajadili Liverpool nendeni mkawazodoe kwenye jukwaa lao huko.
Mnaupaka mavi uzi wetu
Kuwajadili Liverpool au timu nyingine yoyote kwenye sired ya United ni kupaka mavi sired yetu.Ushindi kidogo tu matusi kibao
Rashford ni FL na Martial ni FLC, Dan James ni FL, Grealish hawezi kuja kuwa chaguo la 3.
Ukweli utakuweka huru, yaani mtu anasema Martial amuweke benchi Grealish?Kama mkuu wewe ni kocha unaishusha timu daraja kati ya wote uliowataja hamna wa kumuweka bench jack hapo
Ukweli utakuweka huru, yaani mtu anasema Martial amuweke benchi Grealish?