Umeangalia game ya Arsenal jana?..Red card ya David Luiz umeiona?Duh asee ila Red card ya pili hadi nimeshangaa me shabiki wa man u
Ni leo mkuuMkuu umezaliwa tarehe 2 au 3??
japo ushindi mwembamba ila tuendelee kulindwa tuu..Ninavyozungumza mkuu, Rais ashatoa maelekezo usalama wa taifa na jeshi LA makomandoo watupe ulinzi mashabiki wote wa Man Utd
Sent using Jamii Forums mobile app
Anajua.. Tutampa mikoba yote ya evra sasa...9-0...
AWB ameimprove kiasi fulani hivi..
Shaw yupo form ile mbaya..Best left back in the League.
GGMU
Afungwe Southampton wateseke wengineHako ka jamaa kanateseka sana na bruno halafu ndio tuvimba macho twenyewe huto post zake nyingi za wivu tu vile vijitu vyenye roho mbaya vinatafuta namna ya kujipoza machungu kwa kufosi makosa
Huko liverpool hivi hamna mchezaj wao aliepiga penat toka hiyo timu ianzishwe kakija hapa ni bruno tu sijui kakafanya nn katanzania ke nzetu mbona salah na mane wanapiga sana penat kuna mtu ana muda nao?
Afungwe Southampton wateseke wengine
Yeah Goli lililopita kabla ya hili kapiga bonge la penalty nje ya Box pale Anfield.BRUNO FERNANDES Timu inashinda Goli 9 Still bado magoli yake ni ya PENALTY tu.
Shaw amenyimwa assist nyingi sana, kifupi by far Ndio best left back EPL msimu huu.Mtanisahihisha jana kwa mara ya kwanza naona cross ya luke shaw inatua sehemu sahihi na ed anaandika nipo radhi kusahihishwa.
BRUNO FERNANDES Timu inashinda Goli 9 Still bado magoli yake ni ya PENALTY tu.
8-2 dhidi ya arsenal hii nilikuwa nachomekea tu.PREMIER LEAGUE RECORDS:
Manchester United 9-0 Southampton
Manchester United 9-0 Ipswich Town
Southampton 0-9 Leicester City
TWICE Ralph Hasenhüttl has lost 9-0
TWICE Manchester United have won 9-0
Hahahahahahahahah Best left back EPL this Season, Kwa kipi ,kwa Product gani @ Chief-Mkwawa kwa Statistics zipi????Shaw amenyimwa assist nyingi sana, kifupi by far Ndio best left back EPL msimu huu
Yeah Goli lililopita kabla ya hili kapiga bonge la penalty nje ya Box pale Anfield.