Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Mimi huu mjadala ninao moyoni mpaka leo ila humu ndani nimeupumzisha tu....
Juzi juzi tu niliuliza hapa anaejua sosha anatupeleka wapi aniambie maana mimi sielewi hata.....
Sosha anawajulia, mkianza lalamika anawaletea matokeo mazuri mnasahau...
🤣🤣🤣🤣
 
Sosha anawajulia, mkianza lalamika anawaletea matokeo mazuri mnasahau...
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Mdau moyo ushakua wa baridi huu hata alete matokeo mazuri ya namna gani mi nitayaona ya kawaida tu wala sishtuki.....
Huyu sosha hata akibeba ubingwa ni bahati tu ndio imembeba......
 
Sawa Carrick mshauri OGS amekusikia
 
★Rank these Manchester United midfielders from best to worst [emoji116]

Roy Keane [emoji1132]
Bruno Fernandes [emoji1201]
David Beckham [emoji1022]󠁧󠁢󠁥󠁮󠁧󠁿
Ryan Giggs [emoji1022]󠁧󠁢󠁷󠁬󠁳󠁿
Paul Pogba [emoji632]
Paul Scholes [emoji1022]󠁧󠁢󠁥󠁮󠁧󠁿★

#GGMU[emoji123][emoji41]

manutd |
 
Baada ya kufungwa na Sheffield mashabiki wa united wanamsakama na kumtukana Tuanzebe wakimlaumu kwa matokeo.

Matusi yamebase kwenye ubaguzi wa rangi. Funny thing ni kwamba ana stats nzuri kuliko Martial, Rashford, Greenwood na Bisaka.

Kwanini halaumiwi Maguire aliyekua anamkaba De Gea?
 
Vimeumanaaa tayariii....!![emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Sema still we are the best team
 
Kiwango chake kiko chini sana hakuna ubaguzi hapo. Hana stats nzuri zaidi ya yellow, poor timing, no tackle, no assist, no goal hivi stats wazijua wewe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…