OllaChuga Oc
JF-Expert Member
- Jul 4, 2016
- 21,933
- 25,245
Hahahaha kweli nyie matakataka..unaombea man city apigwe?? Mimi nilitaka nyie mubebe ligi ila saiv nawakataa..Mkuu ilo ondoa wasi, leo ushindi ni kama kumsukuma mlevi vile.
Unajua gari letu lishawaka, hata wapinzani wetu wanalijua hilo, ndio maana hawaishi kujamba jamba.
Leo tunarudi pale kileleni, na J/Mos tunaenda kunfyonza ubongo aseno.
Cha kuombea City apoteze game zake (matumaini yangu yapo kwa Livakuku & Tottenham) apo uhakika wa kuinua kwapa upo.
GGMU.
Wewe unashabikia timu gani? Siyo manyumbu weweKwakweli wamekosea sana ngoja tuone dakika ya ngapi now?
Fulu mkoko au fulu ukokoKuna taarifa kwamba SHIEFIELD UTD wanaweza kuwakosa wachezaji wao karibu 9 kwny mechi ya leo
Tunaweka full mkoko tunamaliza mechi kipindi cha kwanza then tunapumzisha wachezaji wetu kwa ajili ya arsenal
Wacheni uwongo wenu hapa, yn sheffield ndo anaupiga mwingi kuliko utd wkt possession ilifika mpk 80%, sema man imejiamini sn wanaona km watafunga mda wwte kitu ambacho sio vzr, aingie cavani atoe Takataka martial, na Matic pia atoke.
Prediction: man 4-1 sheffield.
Pole sana mkuu. Naona umeumia sana nafsiTimu ipo huko mtaa wa bottom line alafu inakuja kushinda OT. kweli OT yetu tumekua shamba la bibi.
Sasa kama bottom team inatufunga nyumbani, nadhan stori za ubingwa tuziache kwanza. Mana vitoto kama hivi city huwa anavishushia kichapo heavy
Asee jmoss moss has takataka wanalala na viatu.
Mkuu bado tunahitaji ulinzi Asee hiyo top four watu hawapendi hata tuipateHahahahahahahaha kweli kweli ..bado munahitaji ulinzi???
Mkuu bado tunahitaji ulinzi Asee hiyo top four watu hawapendi hata tuipate
UKITOA PENALTI , MAN U ANAMALIZA LIGI CHINI YA IHEFU
#COYG
#COYG
Baada ya matokeo ndiyo unajitutumua ungeyasema haya kabla ya mechi. Tatizo la jana ni hakuanza na Cavani angeanza naye tungeshindaClean sheet unajua maana yake wewe
Sana sana mtaambulia sare tuAsee jmoss moss has takataka wanalala na viatu.
Sisi tuna imani sana na Arteta.
#COYG
Yani saa nyingine inakera sana. Kweli sisi ni wa kufungwa nyumbani na Sheffield.Pole sana mkuu. Naona umeumia sana nafsi
Tuko vizuri leo tutapata clean sheet View attachment 1687770