Pain killer
JF-Expert Member
- Aug 15, 2017
- 14,360
- 21,713
Sibishani na mambo yaliyopita Mimi....Wewe kwa utabiri nani wa kukushinda tatizo kamali unazobet unaleta hadi huku rudi hukuView attachment 1685698
Huko mm sipo kesho yangu siijui
Pep kasema ka manchester city kanahitaji kushinda makombe ili awe kama baba lao manchester united rol model wenu yaani
Huo ndio mjadala hayo ya kushinda makombe hata ka manchester city hakana uhakika achana na kamari

It's 22 years to the day since King Eric went all kung-fu at Selhurst Park 

On this day | 25 January 2006
★